Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hasheem Thabeet atosa ofa za Ulaya, arudi kwenye D League

Timu ya Grand Rapids Drive imesajili wachezaji sita kwaajili ya ligi ya NBA-D League akiwemo  Hasheem Thabeet. D-League ni ligi iliyo chini ya NBA. Hivi karibuni Thabeet  ambaye alitemwa na Detroit Pistons alitosa ofa za kujiunga na timu za Ulaya. Hii ni mara ya pili kwa Thabeet kucheza kwenye D-League. Mkurugenzi mkuu wa Detroit Pistons, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HASHEEM THABEET AUZWA PHILADELPHIA 76ERS

STAA wa mpira wa kikapu wa Ligi ya NBA ya Marekani, Mtanzania Hasheem Thabeet ameuzwa na klabu yake ya Oklahoma City Thunder kwenda Philadelphia 76ers. Uhamisho huo umefanyika jana Jumanne japo kuna madai kuwa staa huyo huenda asikae sana katika timu hiyo na kwamba atauzwa hivi…

 

10 years ago

Bongo5

Hasheem Thabeet awaaga rasmi OKC kupitia Instagram

Pindi timu ya Oklahoma City Thunder imetangaza kuwa imemuuza Hasheem Thabeet kwa Philadelphia 76ers, timu hiyo ilimuacha aondoke mmoja wa wachezaji wake waliokuwa wakipendwa. Jumanne hii, Thabeet alitumia mtandao wa Instagram kutoa shukrani zake kwa timu hiyo. “I WANNA TAKE A SECOND TO THANK YOU OKC.. THE ENTIRE THUNDER ORGANIZATION AND THE FANS HAVE BEEN […]

 

10 years ago

Bongo5

Detroit Pistons huenda ikamchukua Hasheem Thabeet lakini..

Hasheem Thabeet anadaiwa kuwepo kwenye roaster ya mazoezi ya timu ya kikapu ya Detroit Pistons ambayo huenda ikamsaini kwa mkataba usiokuwa na ‘guarantee’. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa ESPN. Thabeet ameichezea Oklahoma City Thunder kwa misimu miwili kabla ya kuuzwa kwa Philadelphia 76ers ambao walimwacha huru. Hata hivyo sio rahisi kwa Thabeet kuanza kuichezea […]

 

10 years ago

Bongo5

Philadelphia 76ers wamnunua Hasheem Thabeet kutoka Oklahoma City Thunder, lakini..

Oklahoma City Thunder wamemuuza Hasheem Thabeet kwa timu ya Philadelphia 76ers. Vyanzo vinadai kuwa mabadilishano hayo yaliyofanyika Jumanne hii yataifanya Sixers kupata kile kiitwacho ‘cash considerations’ kuchukua mkataba wa Thabeet. Sixers, wanadaiwa kuwa watamwacha Thabeet mapema na Oklahoma City itaokoa kiasi cha dola milioni 1.25 kwa kumuuza Thabeet bila kuchukua mshahara wowote. Thabeet hatarajiwi kuwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

HASHEEM THABEET ASHUHUDIA KIPIGO TANZANIA BARA CHA GOLI 7-1 KUTOKA KWA ZANZIBAR HEROES

 wachezaji na mashabiki wakipata ukodak moment na mchezaji wa kikapu wa Tanzania nchini Marekani Hasheem Thabeet wakati mchezaji huyo alipojumuika na Watanzania wenzake uwanjani hapo kusherehekea sherehe ya Muungano ya nyama choma na mechi ya mprira wa miguu kati ya Zanzibar Heroes na Tanzania Bara siku ya Jumamosi April 25, 2015 iliyodhaminiwa na Peoples Bank of Zanzibar na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kuwa mgeni rasmi. Gadaf akijipima urefu kwa kuruka juu iliamfikie  mchezaji wa kikapu...

 

10 years ago

GPL

Ofa! Ofa! Ofa! Pendeza na James Kosmetic

OFA! OFA! OFA! OFA! OFA! SASA NI SAWA NA BURE PENDEZA NA JAMES KOSMETIC CO.LTD BILA MADHARA KWA AFYA YAKO KWA BIDHAA BORA ZA MIMEA NA MATUNDA KUTOKA VIWANDANI TUNAZO ZA= 1) kutoa chunusi na madoa = 50,000 2)kushep hips na figure kwa mafuta (a)= 70,000 (b) vidonge 170,000 C) Dawa ya maji =80,000 3) kuongeza unene na uzito wa mwili = 80,000 4) kupunguza unene na uzito wa mwili = a) kwa vidonge 90,000 b) sliming tea 80,000
5)...

 

10 years ago

GPL

OFA! OFA! OFA KUTOKA JAMES COSMETICS

OFA! OFA! OFA JAMES COSMETIC CO.LTD inawatangazia ofa ya punguzo la bei kwa mwezi huu mtukufu kwa kila bidhaa
pia usisahau hizi ni bidhaa za mimea na matunda kutoka viwandani na zimedhibitishwa hazina kemikal zenye madhara 1) kutoa chunusi na madoa = 50,000

2)kushep hips na figure = 60,000

3) kuongeza unene na uzito wa mwili = 60,000

4) kupunguza unene na uzito wa mwili = 70,000
5) kuondoa kitambi na nyama za...

 

9 years ago

Mtanzania

Celine arudi kwenye muziki

celine dionCeline arudi kwenye muziki

LAS VEGAS, MAREKANI

BAADA ya Celine Dion kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya muziki kutokana na kumuuguza mume wake, Rene Angelil, sasa ameanza kazi ya muziki upya.

Celine alipanda jukwaani juzi huku mume wake akiwa pembeni na kabla ya kuimba aliwaambia mashabiki: ‘Nadhani kila mmoja anajua nini ninataka kukufanyia leo siku yangu rasmi.’

Hata hivyo, msanii huyo alijikuta akidondosha chozi kutokana na mapokezi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake.

Baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Will Smith arudi kwenye muziki

Will SmithLOS ANGELES, MAREKANI

MWIMBAJI na mcheza filamu mahiri nchini Marekani, Will Smith,  amerudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.

Msanii huyo alikuwa kimya kwenye muziki huku akihamishia nguvu zake kwenye filamu, lakini wiki iliopita msanii huyo ameachiwa wimbo wake ambao unajulikana kwa jina la ‘Fiesta’.

Mara ya mwisho msanii huyo kuachia wimbo wake ilikuwa mwaka 2000, hivyo alikuwa kimya kwa miaka 15 sasa.

Hivi karibuni, msanii huyo alifanya shoo ya kujitambulisha kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani