Hasheem Thabeet atosa ofa za Ulaya, arudi kwenye D League
Timu ya Grand Rapids Drive imesajili wachezaji sita kwaajili ya ligi ya NBA-D League akiwemo Hasheem Thabeet. D-League ni ligi iliyo chini ya NBA. Hivi karibuni Thabeet ambaye alitemwa na Detroit Pistons alitosa ofa za kujiunga na timu za Ulaya. Hii ni mara ya pili kwa Thabeet kucheza kwenye D-League. Mkurugenzi mkuu wa Detroit Pistons, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWXpn3Ah-0wGhx6vz5AAXE8erRYGKzQ7KZA-IEZi9SHb8V66M7P4l*GhVX*W0H8j3BrsYTtENzbq2wAHBgF7mW1/hasheemthabeet.jpg?width=650)
HASHEEM THABEET AUZWA PHILADELPHIA 76ERS
10 years ago
Bongo524 Sep
Hasheem Thabeet awaaga rasmi OKC kupitia Instagram
10 years ago
Bongo527 Sep
Detroit Pistons huenda ikamchukua Hasheem Thabeet lakini..
10 years ago
Bongo527 Aug
Philadelphia 76ers wamnunua Hasheem Thabeet kutoka Oklahoma City Thunder, lakini..
10 years ago
VijimamboHASHEEM THABEET ASHUHUDIA KIPIGO TANZANIA BARA CHA GOLI 7-1 KUTOKA KWA ZANZIBAR HEROES
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/ARIANNAANGEL234Y.png)
Ofa! Ofa! Ofa! Pendeza na James Kosmetic
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-2Z7o*z5henT6YsapGXEfl2aG-r9QRYw4IViRh*KlDkCDisiEWAw5407YA4xk3WT0jzj5mDI91sS4jWTl9OEc3/ARIANNAANGEL2344.png?width=650)
OFA! OFA! OFA KUTOKA JAMES COSMETICS
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Celine arudi kwenye muziki
Celine arudi kwenye muziki
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya Celine Dion kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya muziki kutokana na kumuuguza mume wake, Rene Angelil, sasa ameanza kazi ya muziki upya.
Celine alipanda jukwaani juzi huku mume wake akiwa pembeni na kabla ya kuimba aliwaambia mashabiki: ‘Nadhani kila mmoja anajua nini ninataka kukufanyia leo siku yangu rasmi.’
Hata hivyo, msanii huyo alijikuta akidondosha chozi kutokana na mapokezi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake.
Baada ya...
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Will Smith arudi kwenye muziki
LOS ANGELES, MAREKANI
MWIMBAJI na mcheza filamu mahiri nchini Marekani, Will Smith, amerudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Msanii huyo alikuwa kimya kwenye muziki huku akihamishia nguvu zake kwenye filamu, lakini wiki iliopita msanii huyo ameachiwa wimbo wake ambao unajulikana kwa jina la ‘Fiesta’.
Mara ya mwisho msanii huyo kuachia wimbo wake ilikuwa mwaka 2000, hivyo alikuwa kimya kwa miaka 15 sasa.
Hivi karibuni, msanii huyo alifanya shoo ya kujitambulisha kwamba...