Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto Kabwe aongoza kwa wafuasi wengi mtandaoni

>Matumizi ya mitandao ya kijamii yanaongezeka kila kukicha na kuleta upinzani kwa vyombo vya habari. Hii inatokana na ukweli kwamba kupitia mitandao hiyo habari husambaa kwa haraka katika muda mfupi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram

DIAMOND789

 

Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com

… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu ..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, Zari 

Na Andrew Chale wa MOdewji blog

Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagrma, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa  ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.

Uchunguzi wa kina uliofanywa...

 

10 years ago

Michuzi

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi? - Mh. Zitto Kabwe

Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache iliyopita.
EWURA,inasemekana, wamesema kuwa bei za hapa nchini hushuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Zitto Kabwe

Vijana wengi wamekuwa wakijishughulisha na kazi mbalimbali za kujiajiri kama vile kilimo, kuchimba mawe na mchanga, uvuvi na nyinginezo. Vijana wa Msimba walioamua kujiajiri kwa kufyatua matofali wanatozwa ushuru eti tofali ni

 

11 years ago

Bongo5

Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji

Nguvu ya mitandao ya kijamii hususan Facebook, Twitter na forums mbalimbali, inafahamika kwa kusababisha mashinikizo makubwa kwenye serikali nyingi duniani. Mfano hai ni jinsi mitandao hiyo ilivyopelekea idara ya uhamiaji kusitisha ajira zake. “Uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani kusitisha ajira ya idara ya uhamiaji ni hekima sana. Hii pia inaonyesha nguvu ya social […]

 

11 years ago

Michuzi

Mwili wa Mama Yake Zitto Kabwe Wasafirishwa Kwenda Kigoma kwa mazishi

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Kabwe akiwa na Mwenyekiti wa CUF Profesa  Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama Yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum  kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA KAGERA KWA MARA YA KWANZA LEO


Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Akifurahia mara baada ya kutua Bukoba na tayari kuwahutubia wakazi wa mji wa Bukoba leo wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mashujaa/Uhuru Platform Bukoba leo Jumatatu tarehe 15 june, 2015. Kiongozi huyu ambaye amefuatana na viongozi wenzake wa juu wa chama hicho, yuko kwenye ziara ya kukitangaza chama na sera mpya ya azimio la arusha lenye usasa. 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiongea na wakazi wa Mji wa Bukoba...

 

10 years ago

Michuzi

FUBUSA ATANGAZA NIA KUGOMBEA JIMBO LA ZITTO KABWE KWA TIKETI YA CHADEMA

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
Mwanzilishi na  Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho.
Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa alisema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na  kipaumbele cha awali ni kuboresha Elimu,huduma za afya,miundombinu.
 Alisema vipaumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani