Zitto Kabwe aongoza kwa wafuasi wengi mtandaoni
>Matumizi ya mitandao ya kijamii yanaongezeka kila kukicha na kuleta upinzani kwa vyombo vya habari. Hii inatokana na ukweli kwamba kupitia mitandao hiyo habari husambaa kwa haraka katika muda mfupi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL06 Jan
10 years ago
Dewji Blog14 Apr
Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram
Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com
… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu ..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, ZariNa Andrew Chale wa MOdewji blog
Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagrma, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.
Uchunguzi wa kina uliofanywa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l6TLzhhBmFM/VKklcK6cjaI/AAAAAAAG7Js/qkEl7Leu1rU/s72-c/unnamed.jpg)
Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi? - Mh. Zitto Kabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-l6TLzhhBmFM/VKklcK6cjaI/AAAAAAAG7Js/qkEl7Leu1rU/s1600/unnamed.jpg)
EWURA,inasemekana, wamesema kuwa bei za hapa nchini hushuka...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Zitto Kabwe
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mRFg4LljtRw/U4tF_lkiP1I/AAAAAAAAOqc/OGjKKokb-qk/s72-c/MAMA1.jpg)
Mwili wa Mama Yake Zitto Kabwe Wasafirishwa Kwenda Kigoma kwa mazishi
![](http://2.bp.blogspot.com/-mRFg4LljtRw/U4tF_lkiP1I/AAAAAAAAOqc/OGjKKokb-qk/s1600/MAMA1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JyRfvncutDk/U4tGDZsYcOI/AAAAAAAAOq0/5doZhtC0aPk/s1600/mama4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zu2JNvyqDWU/U4tGAEydsNI/AAAAAAAAOqk/yVj5CyPa5ts/s1600/MAMA2.jpg)
10 years ago
MichuziZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA KAGERA KWA MARA YA KWANZA LEO
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Akifurahia mara baada ya kutua Bukoba na tayari kuwahutubia wakazi wa mji wa Bukoba leo wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mashujaa/Uhuru Platform Bukoba leo Jumatatu tarehe 15 june, 2015. Kiongozi huyu ambaye amefuatana na viongozi wenzake wa juu wa chama hicho, yuko kwenye ziara ya kukitangaza chama na sera mpya ya azimio la arusha lenye usasa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_ENOqgV5RJk/VTdWHr8laJI/AAAAAAAHSdc/gXFoFqcDo10/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
FUBUSA ATANGAZA NIA KUGOMBEA JIMBO LA ZITTO KABWE KWA TIKETI YA CHADEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ENOqgV5RJk/VTdWHr8laJI/AAAAAAAHSdc/gXFoFqcDo10/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho.
Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa alisema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na kipaumbele cha awali ni kuboresha Elimu,huduma za afya,miundombinu.
Alisema vipaumbe...