FUBUSA ATANGAZA NIA KUGOMBEA JIMBO LA ZITTO KABWE KWA TIKETI YA CHADEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ENOqgV5RJk/VTdWHr8laJI/AAAAAAAHSdc/gXFoFqcDo10/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho.
Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa alisema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na kipaumbele cha awali ni kuboresha Elimu,huduma za afya,miundombinu.
Alisema vipaumbe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Frederick Fussi atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya Chadema
Mgombea ubunge jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo (CHADEMA), Frederick Fussi akisisitiza jambo katika mkutano wake na waandishi habari.
OFISA Mshauri wa masuala ya Uchumi, Biashara na Uongozi Frederick Fussi ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Songea Mjini kupitia Chama hicho huku akielezea vipao mbele ambavyo atavitekeleza endapo akipewa ridha kutoka kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5lQ64ddQWNc/default.jpg)
10 years ago
MichuziMWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA SONGEA MKOANI RUVUMA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJJeET00R40/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MrqSxm3ZLYg/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hrC63BHVKlE/VacP0mh4wNI/AAAAAAAASSU/C6V9O_O2BhA/s72-c/E86A6393%2B%25281280x853%2529.jpg)
DAVIS MOSHA ATANGAZA RASMI NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hrC63BHVKlE/VacP0mh4wNI/AAAAAAAASSU/C6V9O_O2BhA/s640/E86A6393%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Bk-UlaNixQ/VacP0Kt3EVI/AAAAAAAASSY/R8maUDYdgms/s640/E86A6400%2B%25281280x853%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZPKfFJRPpHY/VaATDOE-leI/AAAAAAAASC4/bJXodYf58Mg/s72-c/E86A3332%2B%25281280x853%2529.jpg)
Priscus Tarimo atangaza rasmi nia ya kugombea udiwani jimbo la Moshi mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZPKfFJRPpHY/VaATDOE-leI/AAAAAAAASC4/bJXodYf58Mg/s640/E86A3332%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015