Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO AWAJIBU CHADEMA, ASEMA WASHINDANE KWA HOJA

Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe samamba na timu yake wakiwasalimia wakazi wa Mwanza jana. Zitto Kabwe akiongea na wakazi wa Mwanza jana katika Uwanja wa Furahisha. Wananchi wakiwa katika mkutano huo wa ACT. Na Johnson James, Mwanza
KIONGOZI Mkuu wa chama kipya cha…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe washindane kwa hoja — Mkosamali

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Felix Mkosamali, amewataka wajumbe kuhakikisha wanashindana kwa hoja badala ya kutumia muda mwingi kujadili mambo ya chama. Mkosamali alitoa kauli hiyo muda mfupi baada...

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametangaza kijivua ubunge wa jimbo hilo.

Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.

Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.

“Ndugu zangu...

 

9 years ago

Mwananchi

Sitta awajibu Ukawa, asema serikali itafufua ATC

Waziri wa Uchukuzi, Samwel Sitta amesema serikali italifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATC) ili liweze kununua ndege nne na kuanza biashara.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapangua hoja za Zitto

muhongo

Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo.

MUHONGO(UTETEZI WA SERIKALI)
Anaomba radhi kama jana kulikuwa na usumbufu wa umeme na anawaagiza mameneja wote wa TANESCO wasikate umeme.
Anatoa pongezi juu ya mjadala wa Escrow, mengi yamesemwa na ni wakati wa kuanza mjadala kujua ukweli, Shukraan kwa CAG, TAKUKURU na PCCB kwa uchunguzi. Pia nawashukuru PAC, jana tulitulia kuwasikiliza PAC na leo tutulie tusikilize utetezi wangu.

Miaka ya 90 tulikuwa tuna upungufu wa umeme kutokana na...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto: Kipengele kilichotumika kunifukuza Chadema kilitungwa kwa ajili yangu

Zitto-KabweNa Fredy Azzah
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amevunja ukimya baada ya kuzungumzia tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikielezwa juu yake, ikiwamo usaliti ndani ya chama chake na hatima yake ya siasa baada ya kutimuliwa.
Katika mahojiano haya, zitto anatoa maelezo yote juu ya tuhuma dhidi yake.
Swali: Mwaka 2009, ulitaka kugombea uenyekiti wa Chadema, uamuzi huo ulikuwa ni wako mwenyewe ama kuna watu nyuma yako walikushawishi kufanya hivyo?
Jibu: Chadema nilivyoingia kwenye uongozi...

 

10 years ago

Michuzi

FUBUSA ATANGAZA NIA KUGOMBEA JIMBO LA ZITTO KABWE KWA TIKETI YA CHADEMA

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
Mwanzilishi na  Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho.
Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa alisema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na  kipaumbele cha awali ni kuboresha Elimu,huduma za afya,miundombinu.
 Alisema vipaumbe...

 

10 years ago

Vijimambo

Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya Tegeta Escrow, kumekuwa na kampeni za chini chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge na kwenye mitandao dhidi yangu binafsi na baadhi ya wabunge waliosimama kidete dhidi ya wizi wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti ya Escrow.

Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto ataja sababu za kujiunga ACT, asema hakuna kurudi nyuma

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ametaja sababu tano za kujiunga na chama cha ACT-Tanzania huku akijigamba kuwa yeye ni mchapakazi na kwamba sasa mambo yote ni mbele kwa mbele.

 

9 years ago

Bongo5

Update: Soundcity hamuwezi kututisha kwa lolote — Meneja wa P-Square awajibu!

Beef kati ya kituo cha runinga Soundcity TV ya Nigeria na kundi la P-Square inazidi kupamba moto. Meneja wa kundi la P-Sqaure ambaye pia ni kaka yao, Jude Okoye amekijibu kituo hicho kilichotoa maelezo ya kwanini hakioneshi video za P-Square (Ingia hapa). Jude ametumia Twitter kuishutumu Soundcity kuwa haiwalipi wasanii mirahaba na wao hawalalamiki, hivyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani