MAKAHABA WA INDIA WAMWAGA CHOZI AIR PORT
![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJd1qkSooMDWLpghd0kk-VzovPvFZY1uHgnEPCrZ3EkFLEDbbDsjZBv9Ba6VGtMQ60OjNSia4lDN0oYE64gB3w1/BACKAMANI.jpg?width=650)
Stori: Waandishi Wetu/Amani MABINTI 22 wa Kihindi na Kinepal walioingizwa nchini kufanya biashara ya kuuza miili, wamenaswa wakimwaga machozi hadharani kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar wakisikitikia kuwakosa wateja wao Wabongo ambao inadaiwa walikuwa wakiwalipa vizuri. Makahaba hao wakijiandaa kwa ajili ya safari ya kurudi India. Mabinti hao waliingizwa nchini kati ya Mei na Desemba, mwaka jana na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wrFaKHpwpO8/VJBoyi8Nw8I/AAAAAAAG3rs/KhN0YWqu284/s72-c/marcio.jpg)
Kuondoka kwa Maximo, wachezaji Yanga wamwaga chozi!
![](http://4.bp.blogspot.com/-wrFaKHpwpO8/VJBoyi8Nw8I/AAAAAAAG3rs/KhN0YWqu284/s1600/marcio.jpg)
Hata hivyo, tayari Maximo ameaga wachezaji wake kwenye mazoezi ya asubuhi leo ambapo mazoezi hayo yaligeuka shubiri baada ya Maximo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s72-c/zitto+kabwe.jpg)
Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-opUFBNzZwcE/UmInc_Sz2XI/AAAAAAAAOww/YFUfMOT4nks/s640/zitto+kabwe.jpg)
Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.
Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.
“Ndugu zangu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Diq4PNDNif0/U_9UpvcTqsI/AAAAAAAGMdU/jTyALT78sWY/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
KIFAA CHA KUCHUNGUZIA UGONJWA WA EBOLA CHAWEKWA AIR PORT ZANZIBAR
Wizara ya Afya Zanzibar imekabidhi kifaa cha THERMAL SCANNER kwa ajili ya kuchunguza Wagonjwa wa EBOLA watakao ingia nchini kutoka mataifa mengine.
Kifaa hicho kilichowekwa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume kitatumika kwa ajili ya kuwachunguza zaidi Wageni ambao watatoka katika nchi zilizoathiriwa na Ugonjwa wa Ebola.
Akikabidhi kifaa hicho Mkuu wa kitengo cha kufuatilia mwenendo wa Maradhi Zanzibar Dkt Salma Masauni amesema THEMO SKAN...
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
Haya Ndio Madhira Aliyokumbana Nayo Faiza Akiwa ‘Air port’ Kutokana na Kushamili Kwa Biashara ya Unga
“Siku nilivyokua nasafiri katika uwanja wetu nikasimamishwa ktk chumba flani hapo air port kuhojiwa na kupewa onyo juu madawa ya kulevya na nikaambiwa kuwa siku Jack alivyo pita walimpa onyo Kama walilo nipa mim matokeo yake ndio ilikua safari yake ya mwisho ndio akakamatwa.
Na hata nilipo fika safari yangu nikahojiwia hivyo hivyo baada ya kufika HK kwa hivyo inaonekana wazi ambavyo hii biashara imekua kubwa Tanzania maana kila unapo pita wana kushuku na mm huwa inanitokea mara kwa mara na...
5 years ago
The Verge21 Mar
The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Nawapenda makahaba
11 years ago
BBCSwahili09 May
Makahaba wa jangwani Sahara
11 years ago
Mwananchi16 Mar
‘Makahaba’ wavamia Dom
9 years ago
Mtanzania12 Sep
CCM, Chadema wamwaga damu
Na Timothy Itembe, Tarime
WANACHAMA na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), juzi walishambuliana kwa ngumi na silaha za jadi na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine watano.
Tukio hilo lilitokea saa 4.09 asubuhi katika Kijiji cha Mangucha, Wilaya ya Tarime mkoani Mara wakati wanachama na wafuasi wa vyama hivyo wakiwa kwenye shughuli za kampeni za vyama vyao.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi...