Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAHABA WA INDIA WAMWAGA CHOZI AIR PORT

Stori: Waandishi Wetu/Amani
MABINTI 22 wa Kihindi na Kinepal walioingizwa nchini kufanya biashara ya kuuza miili, wamenaswa wakimwaga machozi hadharani kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar wakisikitikia kuwakosa wateja wao Wabongo ambao inadaiwa walikuwa wakiwalipa vizuri. Makahaba hao wakijiandaa kwa ajili ya safari ya kurudi India. Mabinti hao waliingizwa nchini kati ya Mei na Desemba, mwaka jana na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kuondoka kwa Maximo, wachezaji Yanga wamwaga chozi!

KOCHA wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo amewaaga rasmi leo asubuhi wachezaji wa timu hiyo kwenye mazoezi uwanja wa Sekondari ya Loyola huku akitarajia kuvuna zaidi ya Milioni 20 ndani ya klabu hiyo ikiwa ni mshahara wake wa dola 1200 na yupo kwenye harakati za kudai fidia ya kuvunjiwa mkataba na kuletwa mrithi wake kabla uongozi wa klabu hiyo haujamaliza nae.
Hata hivyo, tayari Maximo ameaga wachezaji wake kwenye mazoezi ya asubuhi leo ambapo mazoezi hayo yaligeuka shubiri baada ya Maximo...

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto aachia rasmi ubunge, Asema Chadema basi, wafuasi wake wamwaga chozi.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametangaza kijivua ubunge wa jimbo hilo.

Zitto ambaye alivuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wiki iliyopita baada ya kushindwa kesi aliyoifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa soko la kijiji cha Mwandiga, mkoani Kigoma.

Zitto hakueleza ni sababu zipi zilizomlazimisha kujitoa Chadema zaidi ya kudai kuwa ni kutokana na migogoro ndani ya chama hicho.

“Ndugu zangu...

 

10 years ago

Michuzi

KIFAA CHA KUCHUNGUZIA UGONJWA WA EBOLA CHAWEKWA AIR PORT ZANZIBAR

Na Faki Mjaka Maelezo Zanzibar
Wizara ya Afya Zanzibar imekabidhi kifaa cha THERMAL SCANNER kwa ajili ya kuchunguza Wagonjwa wa EBOLA watakao ingia nchini kutoka mataifa mengine.
Kifaa hicho kilichowekwa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume kitatumika kwa ajili ya kuwachunguza zaidi Wageni ambao watatoka katika nchi zilizoathiriwa na Ugonjwa wa Ebola.
Akikabidhi kifaa hicho Mkuu wa kitengo cha kufuatilia mwenendo wa Maradhi Zanzibar Dkt Salma Masauni amesema THEMO SKAN...

 

10 years ago

Bongo Movies

Haya Ndio Madhira Aliyokumbana Nayo Faiza Akiwa ‘Air port’ Kutokana na Kushamili Kwa Biashara ya Unga

“Siku nilivyokua nasafiri katika uwanja wetu nikasimamishwa ktk chumba flani hapo air port kuhojiwa na kupewa onyo juu madawa ya kulevya na nikaambiwa kuwa siku Jack alivyo pita walimpa onyo Kama walilo nipa mim matokeo yake ndio ilikua safari yake ya mwisho ndio akakamatwa.

Na hata nilipo fika safari yangu nikahojiwia hivyo hivyo baada ya kufika HK kwa hivyo inaonekana wazi ambavyo hii biashara imekua kubwa Tanzania maana kila unapo pita wana kushuku na mm huwa inanitokea mara kwa mara na...

 

5 years ago

The Verge

The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19

The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19  The Verge3 FAA ATC Towers Have Been Closed Due To Coronavirus  Simple FlyingCoronavirus: New York airports briefly halted all arriving flights - Business Insider  Business InsiderJFK air traffic control technician tests positive for coronavirus  FOX 5 NYDelays at JFK after flights at New York grounded as air traffic control worker tests positive for coronavirus  The SunView Full...

 

10 years ago

Mwananchi

Nawapenda makahaba

Unashangaa nini? Ndiyo nawapenda tena kwa dhati na wala sioni aibu kusema hivyo, kwani nao ni binadamu kama mimi na wewe, na kama wana makosa hata wewe unayo makosa yako; na pengine makosa yako ni mabaya zaidi yenye athari kubwa kwa wanajamii na taifa pia. Naomba nieleweke vyema kwamba sitetei ‘ukahaba au vitendo vya umalaya’ na wala sipendi viendelee kuwepo bali nasononeshwa na jinsi wanavyotendewa!

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wa jangwani Sahara

Wahamiaji kutoka Afrika Magharibi wanahatarisha maisha yao wakisafiri kupitia jangwa la Sahara wakitumai kuingia ulaya kupata maisha bora.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makahaba’ wavamia Dom

“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.

 

9 years ago

Mtanzania

CCM, Chadema wamwaga damu

MTZ jmosi new.inddNa Timothy Itembe, Tarime

WANACHAMA na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), juzi walishambuliana kwa ngumi na silaha za jadi na kusababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine watano.

Tukio hilo lilitokea saa 4.09 asubuhi katika Kijiji cha Mangucha, Wilaya ya Tarime mkoani Mara wakati wanachama na wafuasi wa vyama hivyo wakiwa kwenye shughuli za kampeni za vyama vyao.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani