Makahaba wa jangwani Sahara
Wahamiaji kutoka Afrika Magharibi wanahatarisha maisha yao wakisafiri kupitia jangwa la Sahara wakitumai kuingia ulaya kupata maisha bora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Nawapenda makahaba
Unashangaa nini? Ndiyo nawapenda tena kwa dhati na wala sioni aibu kusema hivyo, kwani nao ni binadamu kama mimi na wewe, na kama wana makosa hata wewe unayo makosa yako; na pengine makosa yako ni mabaya zaidi yenye athari kubwa kwa wanajamii na taifa pia. Naomba nieleweke vyema kwamba sitetei ‘ukahaba au vitendo vya umalaya’ na wala sipendi viendelee kuwepo bali nasononeshwa na jinsi wanavyotendewa!
11 years ago
Mwananchi16 Mar
‘Makahaba’ wavamia Dom
“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.†Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.
11 years ago
Habarileo13 Jun
Makahaba kuneemeka Kombe la Dunia
MAKAHABA takribani milioni moja wanaoishi Brazil wanatarajiwa kupata mapato makubwa wakati wa Kombe la Dunia lililoanza Alhamisi nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Makahaba wazee wa Korea Kusini
Umasikini na changamoto za maisha zawalazimu wazee wa umri wa miaka 71 kufanya ukahaba Korea Kusini
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Makahaba Kenya:Ukahaba uidhinishwe
Makahaba mjini Nairobi, Kenya waliungana na wenzao duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga unyanyasaji dhidi yao.
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wajivunia kuwa makahaba Australia
Biashara ya ngono nchini Australia yashamiri,wafanya biashara hiyo hutumia mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram kujinadi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PIgm1ECtz7F5pgmRKmvxyraKxJJV*vlmZsv2R18rzPxhMo6qeaHovKPZnIw6dQTcGQ4TwySKikNFS8YY-4mVRKg/BACKAMANI.jpg)
MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!
WAANDISHI WETU/Amani NI msala! Kupigwa notisi ya kutakiwa kuhamisha kanisa kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kumeelezwa kusababishwa na baadhi ya makahaba, wavuta bangi na wengineo, Amani limeambiwa. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mapema wiki iliyopita, Gwajima amepewa notisi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ikimtaka kuhamisha kanisa lake kwenye...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Makahaba Dodoma wanavyokitumia Udom kujinadi
>Mji wa Dodoma unakua kwa kasi kubwa, ofisi za serikali na taasisi zisizo za kiserikali zinajengwa kwa wingi.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Makahaba watumia Vibaya Hijab Kenya
Makahaba katika baadhi ya sehemu za mji mkuu wa Kenya , Nairobi, wametupilia Mbali vazi la 'Mini skirt na kuanza kutumia Hijab kama njia ya kuwavutia wateja wao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania