Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!

WAANDISHI WETU/Amani NI msala! Kupigwa notisi ya kutakiwa kuhamisha kanisa kwa  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kumeelezwa kusababishwa na baadhi ya makahaba, wavuta bangi na wengineo, Amani limeambiwa. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mapema wiki iliyopita, Gwajima amepewa  notisi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ikimtaka kuhamisha kanisa lake kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MATEJA WAMUAMISHA MAIMARTHA

Stori: Hamida Hassan
MTANGAZAJI maaraufu Bongo, Maimartha Jesse amelazimika kuhamisha duka lake lililokuwepo maeneo ya Manyanya-Kinondoni kukwepa vurugu za wabwia unga (mateja). Maimartha Jesse. Maimartha alichukua uamuzi huo mapema mwaka huu kufuatia kukerwa na mateja hao kwa muda mrefu katika duka lake la vipodozi hivyo akaona bora alihamishie maeneo ya Vijana, Kinondoni jijini Dar. “Mwenzagu walizidi sana kurandaranda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka ataka ‘mateja’ walindwe

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa  Anna Tibaijuka, ametaka kuwepo na mikakati ya kuwalinda vijana wanaoathirika na dawa za kulevya. Alisema kuwa hadi sasa serikali haina mikakati...

 

10 years ago

Vijimambo

Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake


Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...

 

9 years ago

Mtanzania

Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’

Nehemia MchechuNA MWANDISHI WETU

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.

Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.

Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA BOBBY CHRISTINA, MASTAA MATEJA MNA HAMU NANYI YAWAKUTE?

JUMAPILI iliyopita, mtoto pekee wa waimbaji nyota wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston na Bobby Brown aitwaye Bobbi Christina, alifariki dunia baada ya kuwa amelazwa tangu Januari mwaka huu, akiwa hajitambui. Bobbi, ambaye wazazi wake wote wawili walikuwa ni waathirika wa madawa ya kulevya, Januari 31, mwaka huu alikutwa ameanguka bafuni nyumbani kwake akiwa hajielewi na uchunguzi wa kitabibu ulionesha kwamba alianguka...

 

10 years ago

Mwananchi

Nawapenda makahaba

Unashangaa nini? Ndiyo nawapenda tena kwa dhati na wala sioni aibu kusema hivyo, kwani nao ni binadamu kama mimi na wewe, na kama wana makosa hata wewe unayo makosa yako; na pengine makosa yako ni mabaya zaidi yenye athari kubwa kwa wanajamii na taifa pia. Naomba nieleweke vyema kwamba sitetei ‘ukahaba au vitendo vya umalaya’ na wala sipendi viendelee kuwepo bali nasononeshwa na jinsi wanavyotendewa!

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makahaba’ wavamia Dom

“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wa jangwani Sahara

Wahamiaji kutoka Afrika Magharibi wanahatarisha maisha yao wakisafiri kupitia jangwa la Sahara wakitumai kuingia ulaya kupata maisha bora.

 

11 years ago

Mwananchi

‘U-CCM’ wamponza Dk. Michael

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kuwaomba wajumbe wachache kwenye Kamati namba Tatu kusoma wenyewe taarifa yao baada ya wajumbe hao kutoridhishwa na usomaji wa Mwenyekiti wa kamati hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani