Tibaijuka ataka ‘mateja’ walindwe
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametaka kuwepo na mikakati ya kuwalinda vijana wanaoathirika na dawa za kulevya. Alisema kuwa hadi sasa serikali haina mikakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s72-c/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE WATOA YA MOYONI JANGA LA CORONA, PROF. TIBAIJUKA ATAKA TIBA MBADALA ITUMIKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s400/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE wameendelea kutoa maoni na ushauri kwa Serikali kuhusu hatua inaweza kuzichukua kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19(Corona) huku Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibajuka akitaka tiba mbadala nayo itumike kwenye kukabiliana na ugonjwa huo.
Wakizungumza Bungeni Mjini Dodoma kwa nyakati tofauti leo Aprili 3 mwaka 2020, wabunge ambao wamepata nafasi ya kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu, wametumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kuhusu janga la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtrV2*vc8pM6fSPdpozDOaL08PDSYgQBBMSFwVJyxk77m*uBF8Q9x96vP*FYAOMlVEDAuRacL0AvCMjGUibFjjm4/mai.jpg?width=650)
MATEJA WAMUAMISHA MAIMARTHA
10 years ago
Habarileo21 Aug
TAS- Maalbino walindwe
KATIBU Mkuu wa Chama cha Maalbino (TAS), Zakia Nsemo ameiomba Serikali iongeze ulinzi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kuwa maisha yao kuwa hatarini.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Wadau wataka wanahabari walindwe
WADAU wa habari mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha waandishi wa habari wakati wanapotekeleza majukumu yao. Hayo yalisemwa na mdau wa habari, Mohamed Juma, wakati akichangia mada kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PIgm1ECtz7F5pgmRKmvxyraKxJJV*vlmZsv2R18rzPxhMo6qeaHovKPZnIw6dQTcGQ4TwySKikNFS8YY-4mVRKg/BACKAMANI.jpg)
MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!
11 years ago
Habarileo11 Jun
Wabunge wataka walindwe na polisi
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Profesa Meena ashauri watoto walindwe
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’
NA MWANDISHI WETU
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.
Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...