Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAS- Maalbino walindwe

KATIBU Mkuu wa Chama cha Maalbino (TAS), Zakia Nsemo ameiomba Serikali iongeze ulinzi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kuwa maisha yao kuwa hatarini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka ataka ‘mateja’ walindwe

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa  Anna Tibaijuka, ametaka kuwepo na mikakati ya kuwalinda vijana wanaoathirika na dawa za kulevya. Alisema kuwa hadi sasa serikali haina mikakati...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka walindwe na polisi

 Felix MkosamaliMBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wataka wanahabari walindwe

WADAU wa habari mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha waandishi wa habari wakati wanapotekeleza majukumu yao. Hayo yalisemwa na mdau wa habari, Mohamed Juma, wakati akichangia mada kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Meena ashauri watoto walindwe

Mtaalamu wa Mambo ya Katiba, Profesa Ruth Meena amesema Rasimu ya Pili ya Katiba ina kasoro ya kutotambua haki za msingi za mtoto ikiwamo kutoa tafsiri ya neno mtoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime

Mke wa rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mama Graca Machel ameitaka jamii kuondokana na suala la ukatili wa kijinsia ukiwamo ukeketaji, ndoa na mimba za utotoni kwa lengo la kumlinda mtoto wa kike na kumpa nafasi ya kutimiza ndoto zake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zantel yakisaidia Chama cha Maalbino

3

Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano kwa Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Bwana Ernest Kimaya. 

2

Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose (katikati) akizungumza na waandishi wa habari  juu ya ushirikiano wao na chama cha Maalbino Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Zantel, Bi Progress Chisenga, na Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya.

1

  Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya akizungumza na...

 

9 years ago

Michuzi

ZANTEL YATEMBELEA CHAMA CHA MAALBINO TANZANIA

 Mmoja wa wafanyakazi wa Chama Cha Albino, Christina Mbedi akielezea namna Chama cha Albino kinavyofanya kazi zake kwa Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale wakati wa ziara ya viongozi wa Zantel ofisini kwao. Anayetizama kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Albino Tanzania, Ernest Kimaya.Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale akikabidhi msaada wa vifaa vya mawasiliano kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Chama cha Albino Tanzabua, Ernest Kimaya. Wanaotazama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Elimu zaidi yatakiwa kubadili jamii kuthamini maalbino

DSC_0016

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism  la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zantel yatembelea ofisi za Chama Cha Maalbino Tanzania

1

Mmoja wa wafanyakazi wa Chama Cha Albino, Christina Mbedi akielezea namna Chama cha Albino kinavyofanya kazi zake kwa Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale wakati wa ziara ya viongozi wa Zantel ofisini kwao. Anayetizama kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Albino Tanzania, Ernest Kimaya.

2

Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale akikabidhi msaada wa vifaa vya mawasiliano kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Chama cha Albino Tanzabua, Ernest Kimaya. Wanaotazama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani