Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Meena ashauri watoto walindwe

Mtaalamu wa Mambo ya Katiba, Profesa Ruth Meena amesema Rasimu ya Pili ya Katiba ina kasoro ya kutotambua haki za msingi za mtoto ikiwamo kutoa tafsiri ya neno mtoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Profesa Meena awafunda wajumbe wanawake

Sharon Sauwa, Mwananchi

 

10 years ago

Mwananchi

Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime

Mke wa rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mama Graca Machel ameitaka jamii kuondokana na suala la ukatili wa kijinsia ukiwamo ukeketaji, ndoa na mimba za utotoni kwa lengo la kumlinda mtoto wa kike na kumpa nafasi ya kutimiza ndoto zake.

 

11 years ago

Habarileo

Ashauri wazazi kuweka mkakati wa kuzaa watoto

JAMII imeaswa kujenga mazoea ya kuwa na utatibu wa kufanya maandalizi ya kuzaa watoto badala ya kuendelea kuzaa kwa bahati mbaya kama ilivyozoeleka.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WALIVYOJIACHIA NA PROFESA CALABASH DAR LIVE SIKUKUU YA PASAKA

Mwanamazingaombwe Profesa Calabash baada ya kumchinja kuku tayari kwa kumpika bila kutumia moto. Profesa Calabash akimnyonyoa kuku kwa ajili ya kumpika bila kutumia moto.…

 

11 years ago

GPL

WATOTO WALIVYOJIACHIA NA PROFESA CALABASH NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA PASAKA

Watoto wakijiachia kwa burudani mbalimbali ndani ya Dar Live katika Sikukuu ya Pasaka Aprili 20, 2014. Burudani hizo zilikuwa zikiongozwa na Profesa Calabash aliyewaburudisha kwa michezo kibao bila kusahau…

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAKIJIACHIA NA PROFESA CALABASH NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD

Mtaalam wa michezo ya watoto na maigizo, Profesa Calabash (mwenye mic) akifanya vitu vyake ndani ya Dar Live katika sikukuu ya Idd Mosi leo.…

 

10 years ago

Habarileo

TAS- Maalbino walindwe

KATIBU Mkuu wa Chama cha Maalbino (TAS), Zakia Nsemo ameiomba Serikali iongeze ulinzi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kuwa maisha yao kuwa hatarini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tibaijuka ataka ‘mateja’ walindwe

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa  Anna Tibaijuka, ametaka kuwepo na mikakati ya kuwalinda vijana wanaoathirika na dawa za kulevya. Alisema kuwa hadi sasa serikali haina mikakati...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka walindwe na polisi

 Felix MkosamaliMBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani