Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Meena awafunda wajumbe wanawake

Sharon Sauwa, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Profesa Meena ashauri watoto walindwe

Mtaalamu wa Mambo ya Katiba, Profesa Ruth Meena amesema Rasimu ya Pili ya Katiba ina kasoro ya kutotambua haki za msingi za mtoto ikiwamo kutoa tafsiri ya neno mtoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

11 years ago

Mwananchi

Makinda awafunda wajumbe wa Katiba

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuacha kuzomeazomea, badala yake kufanya kazi iliyowapeleka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikunge awafunda wajumbe #Bunge la #Katiba, ashauri ubinafsi uwekwe kando [VIDEO]

Wakati Bunge Maalum la Katiba likijiandaa kuanza kazi rasmi wiki ijayo, baadhi ya wajumbe wameasa siasa za umimi na chuki binafsi ziwekwe kando.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika awafunda wanawake Ubungo

NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Josephine Slaa awafunda wanawake Dar

MKE wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Josephine Slaa, amesema japo wanawake ndio chanzo cha ukuaji wa uchumi nchini, bado viongozi waliopo madarakani wanawakandamiza. Aliyasema hayo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunifu wa Mitindo Amina Plummer awafunda wanawake wajasiriamali namna ya kujitambua

   

Mbunifu na Mmiliki wa Maduka ya Amina Design ambaye pia ni Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Amina Plummer akitoa mada kwenye semina ya kuwawezesha  wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Taasisi ya Manjano Foundation, ambayo imeanzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa Miradi  ambayo itamuinua mwanamke wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wanawake wasisitiza haki ya mama na mtoto

Mtandao wa Wanawake na Katiba kwa kushirikiana na asasi takribani 50 za kiraia zinazotetea haki za binadamu, umeendesha semina maalumu ya uchambuzi yakinifu wa Rasimu ya Pili ya Katiba inayotarajiwa kuanza kujadiliwa bungeni hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani