Ashauri wazazi kuweka mkakati wa kuzaa watoto
JAMII imeaswa kujenga mazoea ya kuwa na utatibu wa kufanya maandalizi ya kuzaa watoto badala ya kuendelea kuzaa kwa bahati mbaya kama ilivyozoeleka.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
JET ILIVYODHAMIRIA KUWEKA MKAKATI WAKE WA KUENDELEA KUWAONOA WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa JET John Chikomo(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya JET Dk.Ellen Utaru Okoedion wakijadilana jambo wakati wa mafunzo hayo.
:Mwandishi Sidi Mgumia akitoa uzoefu wake katika masuala ya uandishi wa habari za mazingira na uhifadhi wakati wa semina...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Profesa Meena ashauri watoto walindwe
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s72-c/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
MKURUGENZI MKUU TCRA MHANDISI JAMES KILABA, WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA JIJINI DAR KUWEKA MKAKATI WA KUFANIKISHA TUZO ZA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s640/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JxoVvq1P-jg/XmEKU1UIMRI/AAAAAAALhV8/CuAmpcubiJ8JkToOr37EsELV2MNUHmdtQCLcBGAsYHQ/s640/cba817aa-50c9-45ff-b880-294175cabcdc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kD17UfMD7rc/XmEKVeHK1vI/AAAAAAALhWA/l6tp68X8TIAmW7sSNI-1IpETBy6LY4oOQCLcBGAsYHQ/s640/d0df008c-b4e0-4e87-bc5e-5ce36312608b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtVuD9tRkaA/XmELzoXaTnI/AAAAAAALhWY/AT36PgPJVW0JfZBPb6GqK6I_s41ElfbjQCLcBGAsYHQ/s640/f0f946c7-1bec-4004-9ab3-a1e8d4c2c7ec.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Raia Uchina waruhusiwa kuzaa watoto wawili
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Tattoo husababisha maradhi ya ngozi, kuzaa watoto walemavu
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?