Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nawapenda makahaba

Unashangaa nini? Ndiyo nawapenda tena kwa dhati na wala sioni aibu kusema hivyo, kwani nao ni binadamu kama mimi na wewe, na kama wana makosa hata wewe unayo makosa yako; na pengine makosa yako ni mabaya zaidi yenye athari kubwa kwa wanajamii na taifa pia. Naomba nieleweke vyema kwamba sitetei ‘ukahaba au vitendo vya umalaya’ na wala sipendi viendelee kuwepo bali nasononeshwa na jinsi wanavyotendewa!

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Madonna:Nawapenda vijana wadogo

Madonna amesisitiza kuwa anavutiwa na vijana wadogo kwa kuwa hawezi kuanza uhusiano na wanaume wa umri wake ambao wameoa

 

10 years ago

Bongo5

Wema: Nawapenda Diamond na Zari they make such a good couple!

Kwa mara ya kwanza Wema Sepetu amezungumza kuhusu uhusiano wa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na mrembo wa Uganda, Zari The Boss Lady ambao sasa ni ‘talk of East Africa’. enzi za mahaba ya Diamond na Wema walipohudhuria tuzo za MTV MAMA South Africa mwkaa huu Alianza kwa kuwasifia na kusema anaipenda couple yao, “Aisee […]

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makahaba’ wavamia Dom

“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wa jangwani Sahara

Wahamiaji kutoka Afrika Magharibi wanahatarisha maisha yao wakisafiri kupitia jangwa la Sahara wakitumai kuingia ulaya kupata maisha bora.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba Kenya:Ukahaba uidhinishwe

Makahaba mjini Nairobi, Kenya waliungana na wenzao duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga unyanyasaji dhidi yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wajivunia kuwa makahaba Australia

Biashara ya ngono nchini Australia yashamiri,wafanya biashara hiyo hutumia mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram kujinadi.

 

10 years ago

GPL

MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!

WAANDISHI WETU/Amani NI msala! Kupigwa notisi ya kutakiwa kuhamisha kanisa kwa  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kumeelezwa kusababishwa na baadhi ya makahaba, wavuta bangi na wengineo, Amani limeambiwa. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mapema wiki iliyopita, Gwajima amepewa  notisi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ikimtaka kuhamisha kanisa lake kwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Makahaba kuneemeka Kombe la Dunia

MAKAHABA takribani milioni moja wanaoishi Brazil wanatarajiwa kupata mapato makubwa wakati wa Kombe la Dunia lililoanza Alhamisi nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wazee wa Korea Kusini

Umasikini na changamoto za maisha zawalazimu wazee wa umri wa miaka 71 kufanya ukahaba Korea Kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani