Nawapenda makahaba
Unashangaa nini? Ndiyo nawapenda tena kwa dhati na wala sioni aibu kusema hivyo, kwani nao ni binadamu kama mimi na wewe, na kama wana makosa hata wewe unayo makosa yako; na pengine makosa yako ni mabaya zaidi yenye athari kubwa kwa wanajamii na taifa pia. Naomba nieleweke vyema kwamba sitetei ‘ukahaba au vitendo vya umalaya’ na wala sipendi viendelee kuwepo bali nasononeshwa na jinsi wanavyotendewa!
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Madonna:Nawapenda vijana wadogo
10 years ago
Bongo530 Dec
Wema: Nawapenda Diamond na Zari they make such a good couple!
11 years ago
Mwananchi16 Mar
‘Makahaba’ wavamia Dom
11 years ago
BBCSwahili09 May
Makahaba wa jangwani Sahara
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Makahaba Kenya:Ukahaba uidhinishwe
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wajivunia kuwa makahaba Australia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PIgm1ECtz7F5pgmRKmvxyraKxJJV*vlmZsv2R18rzPxhMo6qeaHovKPZnIw6dQTcGQ4TwySKikNFS8YY-4mVRKg/BACKAMANI.jpg)
MAKAHABA, MATEJA WAMPONZA GWAJIMA!
11 years ago
Habarileo13 Jun
Makahaba kuneemeka Kombe la Dunia
MAKAHABA takribani milioni moja wanaoishi Brazil wanatarajiwa kupata mapato makubwa wakati wa Kombe la Dunia lililoanza Alhamisi nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Makahaba wazee wa Korea Kusini