Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema: Nawapenda Diamond na Zari they make such a good couple!

Kwa mara ya kwanza Wema Sepetu amezungumza kuhusu uhusiano wa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na mrembo wa Uganda, Zari The Boss Lady ambao sasa ni ‘talk of East Africa’. enzi za mahaba ya Diamond na Wema walipohudhuria tuzo za MTV MAMA South Africa mwkaa huu Alianza kwa kuwasifia na kusema anaipenda couple yao, “Aisee […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Zari Ajibu Kejeli za Wema Kuhusu Ujauzito Aliyopewa na Diamond!

Mrembo na mjasiliamali kutoka Uganda, Zari Hassan  ameonekana kushangazwa na kitendo cha mwigizaji Wema Sepetu kukejeli ujauzizo alionao ambao amepewa na Diamond ambae alikuwa mpezi wa Wema.

Mbali na watu kadhaa ambao wamejinasibisha mitandao kuwa wao hawayapendi mahusiano ya Zari na Diamond kusambaza mtandaoni picha ya Zari ikiwa na maneno ya kejeli kuhusu mimba aliyonayo, Wema nae alishiriki kuiweka picha hiyo yenye maneno ya kejeli  yanayosomeka ‘Mimba My Foot” kama yanavyosomeka kwenye...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye!! Wema afunguka kuhusu Diamond na Zari. "Adai anawapenda sanaaa"

Hatimaye Kwa mara ya kwanza Wema Sepetu amezungumza kuhusu uhusiano wa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na mrembo wa Uganda, Zari The Boss Lady ambao sasa ni ‘talk of East Africa’.

Wema akiwa pembeni kumsupport Diamond
 

Wema alianza kwa kuwasifia na kusema anaipenda couple yao,

“Aisee nawapenda they make such a good couple, yeah”alipoulizwa na Soudy Brown wa U Heard ya XXL kama haoni wivu alijibu, “Wivu wa nini mimi and Diamond we were not meant to be it didn’t work basi, so I wish him all the best and I wish him...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Asema Hampendi Tena Diamond, Hatishwi na Zari, Yeye ni Team Kiba

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema alipokuwa akihojiwa na Sebo  mtangazaji wa EFM, kwenye kipengele kiitwacho Kabali ambapo wema aliambiwa  ajibu maswali kadhaa kama ndiyo au hapana na badaye kupewa nafasi ya kifafnua.

Wame aliulizwa kama bado anampenda Diamond, na kama Zari ni tishio kwake kwa upande wa fasheni ambapo yote hayo Wema alijibu hapana na kijibu ndiyo alipoulizwa kama yeye ni Team Kiba.

Akifafanua kuhusu kuhusu kutompenda tena Diamond Wema alisema kuwa kila kimkumbuka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari

Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.

 

USHAHIDI WA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani