Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi
Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi
Mbunge wa zamani katika bunge la Afrika mashariki Francois Bizimana ameripotiwa kutekwa nyara siku ya jumapili mjini Bujumbura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTauJmIS92HOSKBCPhxnrBoMrJ1VdM*xwFGvBnDsw3yWJSTFMarlueNGVihO-iRgRqRBuAyc3*ocsJmpWkorpRG/feruzi.jpg?width=650)
KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
>Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Aliyekuwa kiongozi wa makaburu aachiliwa
Kiongozi wa zamani wa utawala wa kiimla wa makaburu nchini Afrika Kusini ameachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwandishi aliyefungwa aachiliwa Burundi
Makumi ya maelfu ya raia wameandamana katika mji mkuu wa Burundi ,Bujumbura wakimuungano mkono mwandishi maarufu aliyefungwa
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Makao ya kiongozi wa upinzani yazungukwa
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini Lam Akol anasema kuwa nyumba yake imezingirwa na vikosi vya usalama
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Kiongozi wa upinzani amekamatwa Niger
Kiongozi wa upinzani wa Niger amekamatwa mwaka mmoja baada ya kutoroka akiwa anakabiliwa na mashtaka ya biashara ya ulanguzi wa watoto.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Kiongozi wa upinzani akamatwa Sudan
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Sadiq al Mahdi amekamatwa kutokana na madai ya kuchochea chuki dhidi ya serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania