Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa kiongozi wa makaburu aachiliwa

Kiongozi wa zamani wa utawala wa kiimla wa makaburu nchini Afrika Kusini ameachiliwa huru

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi

Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.

 

10 years ago

CloudsFM

Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.

Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.


Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NJAMA ZA MAKABURU KUMG'OA MKURUGENZI WA KONYAGI MGWASSA ZAGUNDULIKA

 Rais Jakaya Kikwete (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), maarufu kwa jina la Konyagi . David Mgwassa Kombe la ushindi wa mwaka wa uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) Jijini Dar es Salaam.Mwandishi Wetu
MKAKATI wa kumng'oa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi (TDL) David Mgwassa umebainika kutokana na kuwepo kwa njama zinazoendeshwa kwa siri na makaburu.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyemuudhi Museveni aachiliwa Uganda

Mkosoaji mkuu wa serikali ya Uganda kupitia mtandao wa kijamii, Robert Shaka,ameachiliwa huru kwa dhamana na mahakama moja Kampala

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi aliyefungwa aachiliwa Burundi

Makumi ya maelfu ya raia wameandamana katika mji mkuu wa Burundi ,Bujumbura wakimuungano mkono mwandishi maarufu aliyefungwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru

Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchunguzi wa Umoja wa Ulaya aachiliwa

Mmoja wa wachunguzi wa muungano wa Ulaya waliokamatwa na wanamgambo wanaotaka kujitenga Sloviansk nchini Ukraine ameachiliwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Francois Bizimana aachiliwa huru

watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka Mrejumani aachiliwa Somalia

Maafisa wa utawala nchini Somalia, katika jimbo la Puntland, wamethibitisha kuwa mateka mjerumani Michael Scott, ameachiliwa leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani