Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru
Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mateka wa Mali aachiliwa huru
Jeshi maalum la Ufaransa nchini Mali limemwachilia huru mateka mmoja wa Uholanzi aliyetekwanyara miaka mitatu na nusu iliopita.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Francois Bizimana aachiliwa huru
watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.
11 years ago
BBCSwahili25 May
Shinawtra aachiliwa huru na Jeshi
Kuna taarifa kuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand, Yingluck Shinawtra, ameachiliwa huru na viongozi wapya wa jeshi.
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mateka Muingereza aachiliwa huru Libya
Mwalimu mmoja raia wa Uingereza ambaye alitekwa nyara nchini Libya mwezi Mei mwaka huu ameachiliwa huru.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon
Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Mwanaharakati Mpalestina aachiwa huru
Mwanaharakati wa kipalestina Khader Adnan ameachiwa kutoka gerezani na utawala wa Israel
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Urusi yatambua Crimea kama taifa huru
Rais wa Urusi Vladmir Putin ametia saini ilani ya katiba inayotambua jimbo la Crimea kama taifa huru linaloweza kuwa Urusi.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwandishi aliyefungwa aachiliwa Burundi
Makumi ya maelfu ya raia wameandamana katika mji mkuu wa Burundi ,Bujumbura wakimuungano mkono mwandishi maarufu aliyefungwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania