Francois Bizimana aachiliwa huru
watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 May
Shinawtra aachiliwa huru na Jeshi
Kuna taarifa kuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand, Yingluck Shinawtra, ameachiliwa huru na viongozi wapya wa jeshi.
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru
Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mateka wa Mali aachiliwa huru
Jeshi maalum la Ufaransa nchini Mali limemwachilia huru mateka mmoja wa Uholanzi aliyetekwanyara miaka mitatu na nusu iliopita.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon
Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mateka Muingereza aachiliwa huru Libya
Mwalimu mmoja raia wa Uingereza ambaye alitekwa nyara nchini Libya mwezi Mei mwaka huu ameachiliwa huru.
5 years ago
BBC22 May
Augustin Bizimana: Remains of top Rwanda genocide suspect found
Augustin Bizimana was defence minister when about 800,000 people were killed in 100 days.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Masalia ya mwili wa Augustin Bizimana, mshukiwa mkuu wa mauaji ya Rwanda yapatikana
Tangazo la kifo chake limekuja baada ya kukamatwa kwa mshukiwa mwingine mkuu Félicien Kabuga mwishoni mwa wiki huko mjini Paris, ambaye anatuhumiwa kufadhili mkuu wa mauaji ya kimbari.
11 years ago
BBCSwahili10 May
Francois Bozize kuwekewa vikwazo
Wajumbe katika umoja wa mataifa wanasema kuwa wamekubaliana kumuwekea vikwazo aliyekuwa rais wa jamhuri ya afrika ya kati.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania