Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon

Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Gaddafi's son 'kidnapped in Lebanon'

Late Libyan leader Muammar Gaddafi's son Hannibal has been kidnapped in Lebanon, security sources say.

 

10 years ago

BBCSwahili

Francois Bizimana aachiliwa huru

watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru

Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shinawtra aachiliwa huru na Jeshi

Kuna taarifa kuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand, Yingluck Shinawtra, ameachiliwa huru na viongozi wapya wa jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wa Mali aachiliwa huru

Jeshi maalum la Ufaransa nchini Mali limemwachilia huru mateka mmoja wa Uholanzi aliyetekwanyara miaka mitatu na nusu iliopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mateka Muingereza aachiliwa huru Libya

Mwalimu mmoja raia wa Uingereza ambaye alitekwa nyara nchini Libya mwezi Mei mwaka huu ameachiliwa huru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Gaddafi ahukumiwa kunyongwa

Mahakama moja nchini Libya imemuhukumu kumyonga mwana wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Gaddafi,Saif al Islam na wengine wanane kufuatia uhalifu wa kivita uliohusishwa na mapinduzi ya mwaka 2011.

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

9 Wakamatwa shambulio la Lebanon

Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani