Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


9 Wakamatwa shambulio la Lebanon

Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio Garissa:Washukiwa 5 wakamatwa

Serikali ya Kenya inasema watu 5 wanazuiliwa kufuatia shambulizi lililondeshwa na kundi la Al shabaab huko Garissa

 

10 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri wa zamani wa Lebanon auawa

Aliyekuwa waziri wa fedha wa Lebanon Mohamad Chatah auawa kwa Bomu

 

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa Al Qaeda Lebanon afariki

Majeshi ya Lebanon yametangaza kuwa kamanda wa cheo cha juu cha kundi la kigaidi la Al Qaeda katika nchi hiyo Majed Al - Majed amekufa akiwa kizuizini.

 

9 years ago

BBC

Gaddafi's son 'kidnapped in Lebanon'

Late Libyan leader Muammar Gaddafi's son Hannibal has been kidnapped in Lebanon, security sources say.

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA WANNE LEBANON

Magari yakiteketea kwa moto eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon! Mlipuko wa bomu la kujitoa mhanga katika gari umeua watu wanne na kujeruhi wengine 27 eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon!

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Syria, mzigo kwa Lebanon

Idadi ya wakimbizi waliotoroka Syria na kukimbilia Lebanon imeongezeka na kufika watu milioni moja. Lebanon inasema huu ni mzigo mkubwa

 

9 years ago

Habarileo

Lebanon ya Feri ni hatari kwa wafanyabiashara

ENEO la Lebanon katika Soko la Kimataifa la Samaki la Feri ambalo lipo jirani na Ikulu jijini Dar es Salaam limedaiwa kuwa ni hatari kwa wafanyabiashara wa soko hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani