Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda wa Al Qaeda Lebanon afariki

Majeshi ya Lebanon yametangaza kuwa kamanda wa cheo cha juu cha kundi la kigaidi la Al Qaeda katika nchi hiyo Majed Al - Majed amekufa akiwa kizuizini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA

Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...

 

11 years ago

Michuzi

HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi(LPC) Inatoa Pongezi kwa ACP Renatha Mzinga(pichani) aliekuwa Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi kwa kuteuliwa na MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI. Taarifa iliyotolewa leo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi,Abdulaziz Ahmeid ameeleza kuwa kuwa Klabu hiyo Imepokea mabadiliko hayo na kuhaidi Ushirikiano mkubwa baina ya klabu na Jeshi hilo.  "Kwa niaba ya wanahabari...

 

9 years ago

BBCSwahili

9 Wakamatwa shambulio la Lebanon

Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri wa zamani wa Lebanon auawa

Aliyekuwa waziri wa fedha wa Lebanon Mohamad Chatah auawa kwa Bomu

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA WANNE LEBANON

Magari yakiteketea kwa moto eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon! Mlipuko wa bomu la kujitoa mhanga katika gari umeua watu wanne na kujeruhi wengine 27 eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon!

 

9 years ago

BBC

Gaddafi's son 'kidnapped in Lebanon'

Late Libyan leader Muammar Gaddafi's son Hannibal has been kidnapped in Lebanon, security sources say.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon

Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

'Selfie' yamtia matatani Miss Lebanon

Picha ya 'selfie' ya mrembo wa Lebanon akiwa karibu na mwenzake wa Israel kwenye mitandao ya kijamii mambo imewakera wengi Lebanon

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani