Kamanda wa Al Qaeda Lebanon afariki
Majeshi ya Lebanon yametangaza kuwa kamanda wa cheo cha juu cha kundi la kigaidi la Al Qaeda katika nchi hiyo Majed Al - Majed amekufa akiwa kizuizini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Tfrb5vGqUKhinFDYYX1mMEG9v1-hc4unlW9XjZOjQhiEDs7Ct1pBG7EgDbkSLE4GthQkmXhqYJLETSFxlnLckZ/MokhtarBelmokhtar.jpg?width=650)
KAMANDA WA NGAZI YA JUU WA AL QAEDA AUAWA LIBYA
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar aliyeuawa. KAMANDA wa ngazi ya juu wa Kundi la Kigaidi la Al Qaeda, Mokhtar Belmokhtar ameuawa katika mashambulizi ya yaliyofanywa na Jeshi la Marekani nchini Libya. Inasemekana kuwa, watu wengine kadhaa wameuawa wakati wa mashambulizi hayo. Kwa upande wake, Wizara ya Ulinzi ya Marekani kupitia Makao Makuu ya Jeshi la nchi hiyo (Pentagon) imedai kuhusika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
9 Wakamatwa shambulio la Lebanon
Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Cameron azuru Lebanon
Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri wa zamani wa Lebanon auawa
Aliyekuwa waziri wa fedha wa Lebanon Mohamad Chatah auawa kwa Bomu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxgxzt6Ap-GwgyvjXkzWmVd6z2BE7vNKJ35I7lG0YvrA2wR7NgubABAELDa*IlxnLEy1dvcOrJ9uyPkJROiN2rAl/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WAUA WANNE LEBANON
Magari yakiteketea kwa moto eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon! Mlipuko wa bomu la kujitoa mhanga katika gari umeua watu wanne na kujeruhi wengine 27 eneo la Haret Hreik kusini mwa Beirut, Lebanon!
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/0EE9/production/_87171830_breaking_image_large-3.png)
Gaddafi's son 'kidnapped in Lebanon'
Late Libyan leader Muammar Gaddafi's son Hannibal has been kidnapped in Lebanon, security sources say.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon
Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
'Selfie' yamtia matatani Miss Lebanon
Picha ya 'selfie' ya mrembo wa Lebanon akiwa karibu na mwenzake wa Israel kwenye mitandao ya kijamii mambo imewakera wengi Lebanon
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania