Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mateka wa Mali aachiliwa huru

Jeshi maalum la Ufaransa nchini Mali limemwachilia huru mateka mmoja wa Uholanzi aliyetekwanyara miaka mitatu na nusu iliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mateka Muingereza aachiliwa huru Libya

Mwalimu mmoja raia wa Uingereza ambaye alitekwa nyara nchini Libya mwezi Mei mwaka huu ameachiliwa huru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka Mrejumani aachiliwa Somalia

Maafisa wa utawala nchini Somalia, katika jimbo la Puntland, wamethibitisha kuwa mateka mjerumani Michael Scott, ameachiliwa leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Francois Bizimana aachiliwa huru

watu wawili wameuawa katika maandamano ya upinzani nchini Burundi .Watu hao walipigwa risasi na polisi mjini Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru

Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shinawtra aachiliwa huru na Jeshi

Kuna taarifa kuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand, Yingluck Shinawtra, ameachiliwa huru na viongozi wapya wa jeshi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Gaddafi aachiliwa huru Lebanon

Mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi, Hannibal, ameachiliwa huru baada ya kutekwa nyara kwa muda na kundi la wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka 49 wa Uturuki waachiliwa huru

Waziri mkuu nchini Uturuki amesema kuwa mateka 49 ambao walikuwa wametekwa na kundi la Islamic state wameachiliwa huru.

 

9 years ago

Habarileo

Mateka wa Tanzania DRC waachiwa huru

WATANZANIA sita waliokuwa wameshikiliwa mateka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameachiwa huru usiku wa kuamkia juzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wa Sweden waachiliwa huru Syria

Sweden wanasema kuwa raia wake wawili ambao walikuwa wakishikiliwa mateka nchini Syria wameachiliwa huru kupitia usaidizi wa Palestina na Jordan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani