Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yatambua Crimea kama taifa huru

Rais wa Urusi Vladmir Putin ametia saini ilani ya katiba inayotambua jimbo la Crimea kama taifa huru linaloweza kuwa Urusi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaimarisha majeshi Crimea

Urusi imeendelea kuimarisha majeshi yake ndani ya jimbo la Crimea linalomilikiwa na UKraine licha ya shinikizo za kidiplomasia dhidi ya kitendo hicho

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea:kura yapigwa kujiunga na urusi

Wabunge wa Crimea wamepiga kura kujiunga na Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

95.5% ya wapiga kura Crimea wataka Urusi

95.5% ya wapiga kura huko Crimea wataka kujiunga na Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Urusi laruhusiwa kwenda Crimea

Bunge la Urusi limempa idhini Rais Putin kutuma wanajeshi zaidi huko Crimea

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO YATAMBUA KISWAHILI KAMA LUGHA ITAKAYOSAIDIA KUKUZA UTANGAMANO BARANI AFRIKA

 


Mhe. Balozi Shelukindo (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya Wajumbe kutoka UNESCO wakiangalia machapisho mbalimbali ya Lugha ya Kiswahili yaliyoandaliwa na Ubalozi baada ya kushiriki mjadala kuhusu Lugha ya Kiswahili ulioandaliwa na Ubalozi kwa kushirikiana na UNESCO.

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu katika UNESCO, Mhe. Samwel Shelukindo akizungumza kwenye Mjadala kuhusu "Fursa na Changamoto za Kukitambua Kiswahili kama Lugha rasmi ya Bara la Afrika kwa ajili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati wa Urusi aachiliwa huru

Mwanaharakati maarufu anayepinga ufisadi nchini Urusi Alexei Navalny ameachiliwa baada ya kuzuiliwa kwa siku 15 gerezani.

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya kuamua kama Oscar Pistorius ataachiwa huru kusikilizwa leo

Bodi ya parole jijini Johannesburg, Afrika Kusini ilitarajiwa kutoa uamuzi wa kama itamwachia huru Oscar Pistorius kutoka gerezeni Jumatatu hii. Bodi hiyo ilikutana jijini Durban mwezi uliopita lakini iliahirisha kesi yake kwa wiki mbili. Katika kipindi hicho idara ya haki ilisema haikupata muda wa kumaliza kesi ya Pistorius kutokana na kuwa na mambo ya kuyapitia. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi: Miaka 52 ya uhuru taifa haliko huru

WASOMI wamesema kuwa pamoja na kuadhimisha miaka 52 ya uhuru bado taifa halionyeshi kuwa huru. Wamesema ingawa kuna uhuru wa bendera, lakini ni lazima kuhakikisha kuwa watu wanakuwa huru kiakili,...

 

10 years ago

Mwananchi

DARASA HURU: Hata kama umbea unasaidia kuondoa ‘stress’ basi tutete kwa staha

Salamu zangu kwenu wapenzi wa darasa huru. Ni juma jingine tena tunakutana kufahamishana mambo yanayogusa maisha yetu ya kila siku, lengo ikiwa ni kuelimishana, kuhabarishana na kusaidiana katika kuwekana sawa ili maisha yasonge vyema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani