Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa upinzani amekamatwa Niger

Kiongozi wa upinzani wa Niger amekamatwa mwaka mmoja baada ya kutoroka akiwa anakabiliwa na mashtaka ya biashara ya ulanguzi wa watoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi

Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Burundi

Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makao ya kiongozi wa upinzani yazungukwa

Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini Lam Akol anasema kuwa nyumba yake imezingirwa na vikosi vya usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani apinga kufuatiliwa

Kiongozi wa upinzani, Urusi amekatilia mbali kifaa cha elektroniki cha kufuatilia nyendo zake ikiwa ni kupinga adhabu aliyopewa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa Upinzani aongezewa kifungo

Mahakama ya juu zaidi nchini Rwanda imemhukumu kiongozi wa Upinzani nchini humo Victoire Ingabire kifungo cha miaka 15.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Urusi

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Urusi Boris Nemtsov ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani akamatwa Sudan

Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Sadiq al Mahdi amekamatwa kutokana na madai ya kuchochea chuki dhidi ya serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi

Mbunge wa zamani katika bunge la Afrika mashariki Francois Bizimana ameripotiwa kutekwa nyara siku ya jumapili mjini Bujumbura

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani Ethiopia aonyeshwa kwenye TV

Kiongozi wa upinzani nchini Ethiopia, Andargachew Tsege, ameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini humo baada ya Yemen kumkabidhi kwa serikali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani