Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani Syria kushiriki mazungumzo

Baada ya mjadala mkali, kundi la upinzani nchini Syria limekubali kuhudhuria mazungumzo ya amani mjini Geneva wiki ijayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi

 

11 years ago

BBCSwahili

Awamu ya pili ya mazungumzo ya Syria

Awamu ya pili ya mazungumzo kati ya makundi ya upinzani katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yameanza rasmi huko Geneva hii leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo yadoda nchini Syria

Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya upinzani yateka eneo Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema kwamba wanajeshi wa upinzani waliounda kundi lao hivi karibuni nchini Syria,wamefanikiwa kutwaa eneo lenye ukubwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva

Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani nchini Syria wakutana Saudi Arabia

Makundi ya upinzani nchini Syria yanatarajiwa kukutana nchini Saudi Arabia katika jitiha za kuwaunganisha

 

11 years ago

Mwananchi

Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015

Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya haitashiriki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani