Hii ni hatari
![](http://3.bp.blogspot.com/-tCSX9muN9s0/VI7TQi1urDI/AAAAAAAG3Ts/GyQ_MNeacPM/s72-c/MMGM1215.jpg)
Dereva wa boda boda (haonekani pichani) akiwa amembeba abiria wake na mizigo yake kama ionekanavyo pichani,hali inayopelekea kuhatarisha usalama wa maisha yao.Picha hii ilinaswa na Camera ya Globu ya Jamii katika barabara ya Msata-Bagamoyo mapema jana jioni.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo03 Oct
YANGA HII NI TAMU HATARI. .
![](https://fbcdn-photos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-0/s526x296/12039557_1005171819525351_4875535068220800723_n.jpg?oh=1e22046cf478c4daec4f2b70d77597ff&oe=56A8BD35&__gda__=1452269470_885e316e8dfa02f2966642c878c00d3a)
HEBU CHEKI HII:-*Tumecheza michezo 5,Tumeshinda yote.*Tumefunga magoli 13,Tumefungwa goli 1.*Tunaongoza ligi toka ligi ilipoanza.*Timu yetu ndio ina safu kali ya kupachika mabao.*Timu yetu ndio ina safu ngumu ya ulinzi.*Timu mbili za juu kati ya 3 tumeshazifunga.
WACHEZAJI:-*Amiss Tambwe kafunga magoli 4.*Donald Ngoma kafunga magoli 4.*Malimi Busungu kafunga magoli 2.*Ally Mustafa hadi sasa ndie kipa bora.*Kamusoko,Twite na Msuva wamefunga goli moja kila mmoja.*Kiwango cha Kelvin Yondani...
10 years ago
GPLHII NI HATARI KWA WATOTO HAWA
Watoto hao wakicheza kwenye mvua. KAMERA ya GPL leo imewanasa watoto walio mazingira magumu, wakiwa wanacheza barabarani huku mvua kubwa ikiwanyeshea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, hali ambayo ni hatari kwa afya na maisha yao. (Picha/Stori na Gabriel…
10 years ago
Mwananchi31 Mar
‘Hii ndiyo mitandao hatari kwa ‘madenti’
 Tangu kuingia kwa miatandao ya kijamii nchini vijana wengi wamepata nafasi ya kuituma au kupokea ujumbe mfupi, picha na video; kwa njia rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 20 iliyopita.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-blrnkSwZrhE/Va-tl_CTQiI/AAAAAAAD0VY/eXgjYNw2smY/s72-c/Spotted%252Bon%252Ba%252BKenyan%252Broad.jpg)
HATA KAMA MSAFIRI KAFIRI LAKINI HII NI HATARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-blrnkSwZrhE/Va-tl_CTQiI/AAAAAAAD0VY/eXgjYNw2smY/s640/Spotted%252Bon%252Ba%252BKenyan%252Broad.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-t6K-FLpHEVI/VXKb3AXCj7I/AAAAAAAA0pQ/96bU5J9C4uU/s72-c/11053258_384687071716473_6193265198379896636_n.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s72-c/attachment.php.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?
Picha ya ardhi yenye mandhari ya kuvutia , ilio na ziwa huku jua likitua nyuma ya milima inaonekana nzuri kwa mtu kutumia katika simu yake.
11 years ago
MichuziBARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania