Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hii ndiyo mitandao hatari kwa ‘madenti’

 Tangu kuingia kwa miatandao ya kijamii nchini vijana wengi wamepata nafasi ya kuituma au kupokea ujumbe mfupi, picha na video; kwa njia rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 20 iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?

Picha ya ardhi yenye mandhari ya kuvutia , ilio na ziwa huku jua likitua nyuma ya milima inaonekana nzuri kwa mtu kutumia katika simu yake.

 

10 years ago

GPL

HII NI HATARI KWA WATOTO HAWA

Watoto hao wakicheza kwenye mvua. KAMERA ya GPL leo imewanasa watoto walio mazingira magumu, wakiwa wanacheza barabarani huku mvua kubwa ikiwanyeshea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, hali ambayo ni hatari  kwa afya na maisha yao. (Picha/Stori na Gabriel…

 

10 years ago

Vijimambo

BIRTHDAY GIRL WEMA HII NDIYO ZAWADI YAKE KUTOKA KWA MR PLATNUMZ


Jitiririshe na surprise gift ya birthday ya Wema na utakubari mapenzi yao na Diamond ni Special given. Habari ndiyo hiii mambo mengine mwachie baba na mama na movie hii siyo ya leo wala kesho.

 

5 years ago

Michuzi

TCRA.CCC:VIJANA NDIYO WAHANGA WAKUBWA WA MITANDAO YA KIJAMII

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Arusha Day wakiwa wamekusanyika tayari kwa kuwasikiliza Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma za Mawasiliano Tanzania TCRA.CCC walipotembelea shuleni hapo kuwapa Elimu.Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Arusha Day wakifuatilia kwa makini kile kinachoelezwa na Baraza la Ushauri wa Huduma za Mawasiliano Tanzania TCRA .CCCAfisa Uhamasishaji kutoka Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania(TCRA.CCC)Hillary Tesha. 









Mary Shao Katibu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YASHIKWA SHARUBU NA STAND UNITED TAIFA HABARI NDIYO HIYO KWA WALE WANAZI WA MSIMBAZI HII INAWABAMBAJE.

Kiungo wa Simba SC, Shaban Kisiga (kushoto) akimtoka beki wa Stand United, Reyna Mgungira.SIMBA SC  Inaendelea kuchechemea licha ya majigambo mengi ya kuwa na kikosi bora msimu huu lakini mambo ni magumu dagaa kammeza paka  ndiyo kilichotokea na Stand United ya Shinyanga Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hadi mapumziko, tayari timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Simba SC wakitangulia kupitia kwa Shaban Kisiga dakika ya 35 kabla ya Stand United kusawazisha dakika 10 baadaye.
Wafungaji ...

 

10 years ago

Vijimambo

Kuhusiana na skendo ya kukutwa na mume wa mtu, Hii ndiyo barua nzito kwa mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva Stara Thomas

KWAKO mwanamuziki wa Injili na Bongo Fleva, Stara Thomas. Bila shaka ni mzima wa afya na unaendelea na mishimishe zako maana najua una mambo mengi, muziki wa kidunia na ule wa kiroho.
Binafsi ni mzima. Naendelea na majukumu yangu kama kawaida. Nimekukumbuka kwa barua leo maana ni muda mrefu hatujaonana. Sikulaumu maana mjini mipango kama alivyoimba Mwanamuziki Ali Chocky wa Extra Bongo.Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni kukupa pole kwa tukio lililotokea juzikati maana suala la kukutwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani