Tangazo- Wauguzi Waliohitimu 2013 Watume Maombi Yao Kabla Ya 14 Machi 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-3Be3JqvjfVk/Uw9JpxGLyqI/AAAAAAAFQBc/nevzwFUbuZ0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Wauguzi wilaya ya Hanang' waadhimisha siku yao jana
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jt2Ba4WgdGw/U3hhd-xTe4I/AAAAAAAFjYs/V2xrN2afnng/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-11GLPQdzfqQ/U3CXr_p2fnI/AAAAAAAFhDU/0rhGV5hjeOo/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Wauguzi Washerekea siku yao leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-11GLPQdzfqQ/U3CXr_p2fnI/AAAAAAAFhDU/0rhGV5hjeOo/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cQ7aTEUSINA/U3CXtd8T3uI/AAAAAAAFhDc/2w6SKqXqXag/s1600/unnamed+(5).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Phh4nsEePrc/XmCO3qmCO_I/AAAAAAALhHk/kMulLVWtHfU7lZfiWK8_qJTczoF9vidbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BMKUU%2BWILAYA.jpg)
DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31
Na Shukrani Kawogo,LUDEWA
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.
Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.
Alisema jumla ya wanafunzi...
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.
Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.
Alisema jumla ya wanafunzi...
10 years ago
GPLASKOFU WA KANISA LA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY ASEMA MAOMBI YAO MUNGU, AMETENDA!
Askofu Charles Gadi (katikati) akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Viongozi wa kanisa hilo wakiomba kwa pamoja baada ya kumaliza kuongea na wanahabari.
Wanahabari wakichukua tukio. ASKOFU wa Kanisa la Good News For all Ministry, Charles Gadi amesema maombi yao yaliyofanyika kwa takribani siku 1000 kwa ajili ya …
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-71JVuSaqKeY/XlOxEMZ6XDI/AAAAAAALfBs/LTWWmZkrtQcZp0hfghOvY5Ut0UqRTQmjwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-71JVuSaqKeY/XlOxEMZ6XDI/AAAAAAALfBs/LTWWmZkrtQcZp0hfghOvY5Ut0UqRTQmjwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta. Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015. Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni. Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Taifa liwaenzi mashujaa wake kabla na baada ya maisha yao
Tanzania na nchi za Kusini mwa Afrika kwa ujumla hivi sasa zipo katika maombolezo ya kifo cha mmoja wa mashujaa wake, Brigedia Jenerali Hashim Mbita kilichotokea Dar es Salaam juzi.
11 years ago
Dewji Blog03 Aug
Nafasi za kazi Serikalini mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 19 Agosti, 2014
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za 146 za kazi kwa ajili ya Wizara, Idara zinazojitegemea,wakala, Taasisi za umma na Mamlaka ya Serikali za Mitaa kama zilivyoorodheshwa katika tangazo kwa kubofya hapa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania