Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangazo- Wauguzi Waliohitimu 2013 Watume Maombi Yao Kabla Ya 14 Machi 2014


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wauguzi wilaya ya Hanang' waadhimisha siku yao jana

Baadhi ya wauguzi wa Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wakiandamana jana kwenye maadhimisho ya siku ya wauguzi ambayo ilifanyika jana baada ya kushindwa kufanyika Mei 12 kutokana na kuwa na wagonjwa wengi kwenye hospitali ya Tumaini ya wilaya hiyo na kituo cha afya Katesh. Mkuu wa Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Christina Mndeme akizungumza na wauguzi wa wilaya hiyo (hawapo pichani) kwenye maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani ambapo katika wilaya hiyo ilifanyika jana kutokana na...

 

11 years ago

Michuzi

Wauguzi Washerekea siku yao leo jijini Arusha

 .Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha leo. Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha leo

 

5 years ago

Michuzi

DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31

Na Shukrani Kawogo,LUDEWA

Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.

Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.

Alisema jumla ya wanafunzi...

 

10 years ago

GPL

ASKOFU WA KANISA LA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY ASEMA MAOMBI YAO MUNGU, AMETENDA!

Askofu Charles Gadi (katikati) akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Viongozi wa kanisa hilo wakiomba kwa pamoja baada ya kumaliza kuongea na wanahabari.
Wanahabari wakichukua tukio. ASKOFU wa Kanisa la Good News For all Ministry,  Charles Gadi amesema maombi yao yaliyofanyika kwa takribani siku 1000 kwa ajili ya …

 

5 years ago

Michuzi

Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10

IKIWA ni siku Chache tangu kukihama Chama cha Chadema na kuhamia CCM leo Februari 24,2020 aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent Mashinji amekutana na viongozi wa chama hicho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi yao ya uchochezi inayowakabili.

Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...

 

11 years ago

GPL

JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA

Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa liwaenzi mashujaa wake kabla na baada ya maisha yao

Tanzania na nchi za Kusini mwa Afrika kwa ujumla hivi sasa zipo katika maombolezo ya kifo cha mmoja wa mashujaa wake, Brigedia Jenerali Hashim Mbita kilichotokea Dar es Salaam juzi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Nafasi za kazi Serikalini mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 19 Agosti, 2014

vacancies1

 

Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za 146 za kazi kwa ajili ya Wizara, Idara zinazojitegemea,wakala, Taasisi za umma na Mamlaka ya Serikali za Mitaa kama zilivyoorodheshwa katika tangazo kwa kubofya hapa

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani