Hukumu ya watia nia CCM kutolewa hapa
Macho na mawazo ya watanzania wengi yapo mjini Dodoma kufuatilia yanayojiri kwenye mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa kiti cha urais, atakayekiwakilisha katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Jun
Ni wiki ngumu watia nia CCM
WIKI hii ni ya mwisho kwa watia nia ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kurejesha fomu baada ya kuzunguka nchi nzima kuomba wadhamini, hata hivyo jana mwanachama mwingine wa CCM alichukua fomu na hivyo kufanya idadi ya watia nia hao kufikia 42.
10 years ago
Habarileo29 Jun
Utafiti wampa Mwigulu kidedea watia nia CCM
TAASISI ya Utafiti wa Maendeleo ya Elimu Tanzania (TEDRO) imetoa matokeo ya utafiti kuhusu wagombea ambao hotuba zao ziligusa mahitaji wa wananchi kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ndiye aliyeibuka kidedea.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
CCM YAWAONYA WATIA NIA WANAOCHAFUA MADIWANI NA WABUNGE WANAOMALIZA MUDA WAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25281%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Wenye nia za kugombea Udiwani, Ubunge katika Kata na Majimbo mkoani Kagera kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa kuacha tabia ya kutoa kauli za kuwachafua madiwani na wabunge wanaomaliza muda wao kama njia rahisi ya kushinda nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu uliopamgwa...
10 years ago
Michuzi24 Jul
WATIA NIA CCM WAENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KATIKA KATA MBALIMBALI JIMBO LA ARUSHA MJIN
![SAM_4061](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/M4WAho2bXxAtSAob2K6vIj6VHqF-RxAuo2GjJfx0y6b4zhLdEOl6TdElQbjxofkE9K5YlMaLT2jQEUMjW5ZQqZEskpK2O_92XHruJ2Xudw9deGk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4061.jpg)
![SAM_4098](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/deX0ata86eL8aLwIo_1BAIUV9SJiw40In8CnfcjIy_jQG4f8nio6z8zJYt-edXq_xwxS4H5AuTMqRkJ4BfxS-MEHbWg3rwUfQ2YE8FqTyaVtFNA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4098.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s72-c/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA WAJUMBE KATA YA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s640/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dip-LVPmoAc/VbMSTS4FA8I/AAAAAAAASss/tpf0RH2j0gY/s640/DSCF5945%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ojaUBuq1Co/VbMSpeY56CI/AAAAAAAASt0/G0f8wmSB8PY/s640/DSCF5969%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7CIoSmTlhGA/VbMST0VISvI/AAAAAAAASs8/jJ_fkfr2kjM/s640/DSCF5944%2B%25281280x960%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Hukumu ya Muslim Brotherhood kutolewa
10 years ago
StarTV30 Mar
Hukumu ya Badweli kutolewa Aprili 29.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam itatoa hukumu ya Kesi ya rushwa inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma Omary Badweli Aprili 29, mwaka huu.
Badwel anakabiliwa na shitaka la rushwa ambalo anadaiwa kutenda kati ya Mei 30 na Juni 2, 2012, katika maeneo tofauti mkoani Dar es Salaam ambapo alishawishi apewe rushwa ya Shilingi Milioni 1 kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Sipora Liana.
Kesi hiyo ambayo imedumu...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Hukumu ya Alexei Navalny kutolewa leo
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...