Hukumu bomoabomoa ya Tabata Dampo leo
>Mahakama ya Wilaya Ilala leo itatoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi inayowakabili vigogo sita wa Manispaa ya Ilala, akiwemo aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva na aliyekuwa naibu meya, Mohamed Yakub.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Bomoabomoa kuendelea leo Dar
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kazi ya ubomoaji nyumba zilizoko katika Bonde la Mto Msimbazi itaendelea leo katika maeneo ambayo hayako kwenye zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventure Baya, alisema zuio lililopo mahakamani linahusu nyumba 681 tu, hivyo wataendelea na kazi katika maeneo yote...
9 years ago
Habarileo18 Nov
Kinondoni kuanza bomoabomoa leo
MANISPAA ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo inaanza ubomoaji wa nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi.
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA MISS TABATA NDANI YA DA' WEST TABATA USIKU HUU
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17
Taarifa ikufikie kwamba awamu nyingine ya bomoabomoa tayari imeendelea Dar es Salaam na kuna maeneo tayari imepita kukamilisha zoezi hilo. Kuna watu wamejenga maeneo ya wazi, wako waliojenga kwenye maeneo hatarishi au maeneo yasiyoruhusiwa, agizo likatoka Serikalini kwamba wahame mapema kabla ya Serikali haijaingilia kati. Wapo waliohama na wapo waliobaki kwenye maeneo hayo, bomoabomoa imepita na […]
The post Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17 appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2qz6Y4Bfth0/U5BBXR8phkI/AAAAAAAFnzI/0I8Zk9hk2bg/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Miss Tabata kupatikana leo Da’ West Park
![](http://3.bp.blogspot.com/-2qz6Y4Bfth0/U5BBXR8phkI/AAAAAAAFnzI/0I8Zk9hk2bg/s1600/unnamed+(32).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5eKzxAIK8WeniuvgdJ8MuxaMEbv-xNJ82ZdCrW35An2GLwRc1UUCh7l4enKK9BYpHL2oXdN6h7lm2vOADcEKEh/MohammedMorsi1.jpg?width=650)
HUKUMU YA MORSI LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpBUNci31pzKxaXe14sk1YfBIbf6uH3pSUUiGZ8y6YivIZmjnm5NazTMOMTPD*U9ZATib6m27*I75Anhs2rLMPS/misstbt.jpg?width=650)
MISS TABATA KUPATIKANA LEO DA’ WEST PARK
11 years ago
Habarileo15 Jan
Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.