Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomoabomoa kuendelea leo Dar

bomoaNa Grace Shitundu, Dar es Salaam

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kazi ya ubomoaji nyumba zilizoko katika Bonde la Mto Msimbazi itaendelea leo katika maeneo ambayo hayako kwenye zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,  Mkurugenzi Mkuu wa NEMC,  Bonaventure Baya,   alisema zuio lililopo mahakamani linahusu nyumba 681 tu, hivyo wataendelea na kazi  katika maeneo yote...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz)

Maamuzi haya yalikuwa yakisubiriwa na wengi Dar es Salaam, na kwa sababu Mahakama Kuu  Kanda ya Dar es Salaam iliahidi kwamba maamuzi yanatoka leo, macho na masikio ya wengi yalielekea huko kwa siku nzima. Zoezi la bomoabomoa lilianza mwishoni mwa 2015, likasimamishwa kwa muda alafu taarifa ikatoka kwamba zoezi litaendelea leo Januari 5 2015, lakini […]

The post Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

Kinondoni kuanza bomoabomoa leo

MANISPAA ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo inaanza ubomoaji wa nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu bomoabomoa ya Tabata Dampo leo

>Mahakama ya Wilaya Ilala leo itatoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi inayowakabili vigogo sita wa Manispaa ya Ilala, akiwemo aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva na aliyekuwa naibu meya,  Mohamed Yakub.

 

9 years ago

MillardAyo

Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17

Taarifa ikufikie kwamba awamu nyingine ya bomoabomoa tayari imeendelea Dar es Salaam na kuna maeneo tayari imepita kukamilisha zoezi hilo. Kuna watu wamejenga maeneo ya wazi, wako waliojenga kwenye maeneo hatarishi au maeneo yasiyoruhusiwa, agizo likatoka Serikalini kwamba wahame mapema kabla ya Serikali haijaingilia kati. Wapo waliohama na wapo waliobaki kwenye maeneo hayo, bomoabomoa imepita na […]

The post Picha 10 nilivyoikuta bomoabomoa Kinondoni leo December 17 appeared first on...

 

9 years ago

Mwananchi

Mabomu yarindima bomoabomoa Dar

Operesheni ya uwekaji wa alama ya X kwenye nyumba zilizojengwa mabondeni, fukwe za bahari na maeneo ya wazi, jana ilikwama kwa saa tatu baada ya vijana kufunga njia kwa magurudumu yaliyokuwa yakiwaka moto kupinga hatua hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa kubwa yaja Dar

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo inaanza kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi za barabara katika Manispaa ya Kinondoni kuanzia kesho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bomoabomoa yaendelea kutikisa Dar

Mamia ya watu wameendelea kuathiriwa na zoezi la Serikali la kubomoa nyumba zilizojengwa maeneo hatari au yasiyoruhusiwa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Bomoabomoa Dar yashika kasi

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Bomoabomoa kabambe Dar es Salaam

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kuanza kwa bomoabomoa mpya kwa waliojenga katika maeneo ya wazi. Alisema hayo jana wakati anafungua semina ya wahariri wa vyombo vya habari kuhusu sera na sheria ya ardhi na changamoto za wizara yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani