Ajifungua watoto 4 hospitali 2, siku 2
MKAZI wa Kijiji cha Lupili wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza, Tecla Kazimili (24), amejifungua watoto wanne, watatu wa kike na mmoja wa kiume kwa njia ya kawaida katika hospitali mbili tofauti na siku mbili tofauti.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 May
Ajifungua watatu, siku 3 hospitali 2
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) amejifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tofauti na hospitali mbili tofauti.
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
10 years ago
Bongo509 Jan
Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Hospitali ya watoto ya N.Mandela yaanza kujengwa
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Minaj atembelea hospitali ya watoto Philadelphia
PHILADELPHIA, Marekani
NYOTA wa muziki wa Hip Hop kwa wanawake nchini Marekani, Nick Minaj, juzi aliwatembelea watoto katika hospitali ya Philadelphia nchini Marekani.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Minaj aliandika kuwa anajisikia furaha kutembelea hospitali hiyo na kufanya mazungumzo na watoto hao.
“Ninaamini watoto wamepata faraja kubwa kuniona na mimi nimejisikia kuwa na furaha kubwa kwa kuwa nimewaombea kwa Mungu ili wapone haraka.
“Nilikuwa na furaha kubwa kuwaona watoto wakiwa na...
10 years ago
Habarileo16 May
Aliyejifungua watoto 3 kliniki tofauti atoka hospitali
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) ambaye alijifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tatu katika hospitali mbili tofauti, ameruhusiwa na kurejea kwake akiwa na afya njema yeye na wanawe wote.
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
BOA yasheherekea Pasaka na watoto waliolazwa Hospitali ya CCBRT
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi vifaa vya masomo kwa watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akiwahudumia chakula watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi...
10 years ago
MichuziHOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA YAZIDUA UPIMAJI USIKIVU WA WATOTO WACHANGA