Minaj atembelea hospitali ya watoto Philadelphia
PHILADELPHIA, Marekani
NYOTA wa muziki wa Hip Hop kwa wanawake nchini Marekani, Nick Minaj, juzi aliwatembelea watoto katika hospitali ya Philadelphia nchini Marekani.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Minaj aliandika kuwa anajisikia furaha kutembelea hospitali hiyo na kufanya mazungumzo na watoto hao.
“Ninaamini watoto wamepata faraja kubwa kuniona na mimi nimejisikia kuwa na furaha kubwa kwa kuwa nimewaombea kwa Mungu ili wapone haraka.
“Nilikuwa na furaha kubwa kuwaona watoto wakiwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Majaliwa atembelea hospitali ya mkoa wa Ruvuma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Bibi. Antonia Moyo ambaye alikuwa akipata matibabu katika chumba maalum cha wazee katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma wakati alipoitembelea hositali hiyo akiwa katika ziara ya mkoa huo Januari 5, 2016. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Thabiti Mwabungu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimsalimia mtoto Flora Mapunda (1) ambaye amelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma ambayo Waziri Mkuu aliitembelea na kuzungumza na...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA SIERRA LEONE ATEMBELEA HOSPITALI YA KAIRUKI
Katika ziara hiyo ya mafunzo wameweza kuona utaratibu wa Kairuki Hospital wa jinsi wanavyowahudumia wateja wa NHIF ambapo waziri na wawakilishi kutoka Sierra Leone walikuwa na lengo la kuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200307-WA0179.jpg)
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200307-WA0179.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0180.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0178.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0191.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0189.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kigwangwalla atembelea ujenzi wa hospitali ya rufaa kanda ya kusini
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) alipotembelea eneo la Mikindani inapojengwa hospitali ya mpya ya kanda ya kusini, mkoani Mtwara.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akimuuliza swali Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara Dkt. Shaibu...
9 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GDS1-z-oCVk/U7aeMH_tMHI/AAAAAAAFu6M/vwC8vvr_39o/s72-c/image001.jpg)
BALOZI WA COMORO NCHINI ATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
Dkt. Mohammed amesema kuna Wacomoro wengi ambao wanapata huduma za tiba Hospitalini hapa hivyo ameona kuna haja na umuhimu wa pekee kuwa na uhusiano wa kiutendaji rasmi ili Watalaam kutoka Komoro waje kujifunza na kupata uzoefu wa utoaji huduma za...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
DK.SHEIN ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA HOSPITALI NA KITUO CHA UTAFITI TUNGUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s72-c/E88A0424_1333.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA WAGONJWA WA HOSPITALI YA TENGERU NA KUWASIKILIZA KERO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s640/E88A0424_1333.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika hospitali ya tengeru alipofanya ziara ya ghafla hospitalin
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cl8i48-pOsU/VozjvhfUhdI/AAAAAAAAP5Q/xhfiiYwI0S8/s640/E88A0425_1250.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika...