MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200307-WA0179.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amefanya ziara katika hospitali ya Rufaa ya mkoa Simiyu ili kujionea hali ya utoaji huduma katika hospitali hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS KATIKA ZIARA YA MKOA WA SIMIYU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s72-c/IMG_20151209_094857.jpg)
WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s640/IMG_20151209_094857.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d5nb5p4lo8Y/VmgGArjVQ3I/AAAAAAAABP0/G96NDXp7hoo/s640/IMG_20151209_095033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXzQPNeFbEI/VmgGflq4QUI/AAAAAAAABQU/Pq0c_mofV2M/s640/IMG_20151209_100256.jpg)
11 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais atembelea shule ya Sekondari Lumala,Wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kigwangwalla atembelea ujenzi wa hospitali ya rufaa kanda ya kusini
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) alipotembelea eneo la Mikindani inapojengwa hospitali ya mpya ya kanda ya kusini, mkoani Mtwara.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akimuuliza swali Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara Dkt. Shaibu...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli : Nitajenga hospitali za rufaa kila mkoa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VpgK_l7rd7o/Xqpk7wwxXHI/AAAAAAAA_so/EHK12BPaMlQwmZmUCDmMq6lo7rHpuHXDACNcBGAsYHQ/s72-c/hosp.jpg)
MKUU WA MKOA MALIMA: HOSPITALI YA RUFAA MARA MBIONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VpgK_l7rd7o/Xqpk7wwxXHI/AAAAAAAA_so/EHK12BPaMlQwmZmUCDmMq6lo7rHpuHXDACNcBGAsYHQ/s400/hosp.jpg)
Mkuu wa Mkoa, Adam Malima, anasema ni uamuzi uliorejeshwa tena katika utekekezaji kupitia mikakati ya kufufua mipango mbalimbali ya Mwalimu Nyerere.
Ni mradi unaoatarajiwa kunufaisha wakazi kutoka wilaya za Butiama, Rorya, Tarime, Musoma Mjini, Musoma Vijijini na Serengeti, pia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s72-c/KWANGWA-3-768x376.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s640/KWANGWA-3-768x376.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-5.jpg)
Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s640/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4d33d7b4-f238-47c6-9594-ee54581f5a66.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10