MAKAMU WA RAIS KATIKA ZIARA YA MKOA WA SIMIYU
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Jengo Jipya la Stendi mpya ya Kisasa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu wakati akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo.Machi 7, 2020. Wa pili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anthon Mtaka.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu kuhusu Vifaa Vipya vilivyofungwa kwenye Hospitali hiyo iliyopo Wilayani Bariadi, alipotembelea hospitali hiyo kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU






10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KICHAMA MKOA WA DSM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam alipowasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam leo Juni 27,2020 kwa ajili ya mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam.

11 years ago
Michuzi.bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
.bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
10 years ago
Michuzi
MADAKTARI BINGWA WA MOYO WAFANYA ZIARA MKOA WA SIMIYU.



10 years ago
Vijimambo
MH. MBOWE AFANYA ZIARA ZA CHAMA MKOA WA SIMIYU NA TABORA


5 years ago
CCM Blog
MAKAMU WA RAIS, SAMIA SULUHU KATIKA ZIARA YA KICHAMA DAR ES SALAAM


5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA HARAMBEE YA CCM MKOA WA PWANI
10 years ago
Michuzi
Makamu Wa Pili wa Rais Zanzibar aendelea na ziara yake katika Kisiwa cha Hainan

