MKUU WA MKOA MALIMA: HOSPITALI YA RUFAA MARA MBIONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VpgK_l7rd7o/Xqpk7wwxXHI/AAAAAAAA_so/EHK12BPaMlQwmZmUCDmMq6lo7rHpuHXDACNcBGAsYHQ/s72-c/hosp.jpg)
NI simulizi inayochukua miaka 40 na kadhaa, leo hii kunatekelezwa wazo la Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere, kujengwa Hospitali ya Rufaa Mkoani Mara, katika kitongoji cha Kwangwa ndani ya Manispaa ya Musoma.
Mkuu wa Mkoa, Adam Malima, anasema ni uamuzi uliorejeshwa tena katika utekekezaji kupitia mikakati ya kufufua mipango mbalimbali ya Mwalimu Nyerere.
Ni mradi unaoatarajiwa kunufaisha wakazi kutoka wilaya za Butiama, Rorya, Tarime, Musoma Mjini, Musoma Vijijini na Serengeti, pia...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s72-c/KWANGWA-3-768x376.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s640/KWANGWA-3-768x376.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-5.jpg)
Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli : Nitajenga hospitali za rufaa kila mkoa
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MABULA AKERWA MSHAURI ELEKEZI KUKWAMISHA MRADI HOSPITALI YA RUFAA MARA
Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na hatua ya kusimamisha ujenzi wa miundombinu kwenye mradi wa kimkakati wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo eneo la Kwangwa Manispaa ya Musoma mkoa wa Mara uliofanywa na Mshauri Elekezi wa mradi huo Kampuni ya ARU Environment Consulting Company Ltd (ABECC) .
Hatua hiyo inafuatia Dkt Mabula kuelezwa na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoa wa Mara Goodluck...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200307-WA0179.jpg)
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200307-WA0179.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0180.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0178.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0191.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0189.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s640/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4d33d7b4-f238-47c6-9594-ee54581f5a66.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T00q86iqCWU/Vmmwc2ueFCI/AAAAAAAAYXs/v2kp3O7GykY/s72-c/IMG_0366%2B%25281024x683%2529.jpg)
MKUU WA WILAYA YA MOSHI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC
![](http://2.bp.blogspot.com/-T00q86iqCWU/Vmmwc2ueFCI/AAAAAAAAYXs/v2kp3O7GykY/s640/IMG_0366%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6UGUOBExx0/Vmmvzn2HXZI/AAAAAAAAYW8/5p_hbwBUdzA/s640/IMG_0341%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r3y7PVKw8_A/VmmvorZ9GUI/AAAAAAAAYWs/5VAiVuIglcI/s640/IMG_0333%2B%25281024x683%2529.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga (kulia) akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayotajwa kuwa changamoto kwa...
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Wasanii na Serengeti watoa msaada wa milioni 3 kwa hospitali ya mkoa wa Mara
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10