Majaliwa atembelea hospitali ya mkoa wa Ruvuma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Bibi. Antonia Moyo ambaye alikuwa akipata matibabu katika chumba maalum cha wazee katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma wakati alipoitembelea hositali hiyo akiwa katika ziara ya mkoa huo Januari 5, 2016. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Thabiti Mwabungu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimsalimia mtoto Flora Mapunda (1) ambaye amelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma ambayo Waziri Mkuu aliitembelea na kuzungumza na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.
9 years ago
Habarileo03 Jan
Majaliwa kutikisa mkoa wa Ruvuma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo ataanza ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma, kuhimiza na kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa, Said Mwambungu alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Songea jana.
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Majaliwa ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma na kuagana na viongozi wa mkoa huo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana viongozi wa mkoa wa Ruvuma baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku tatu mkoani huo Januari 6, 2016. Kulia kwake ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana viongozi wa mkoa wa Ruvuma baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku tatu mkoani huo Januari 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Mkuu aipiga marufuku Hospitali ya Mkoa Ruvuma kutoaji  Mimba
Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa amepiga marufuku utoaji wa mimba katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya kazi ya utoaji Mimba atafukuzwa kazi mara moja.
Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi, wauguzi na Madaktari wa Mkoa wa Ruvuma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kasimu Majaliwa mara baada ya kufanya ukaguzi katika hospitari ya mkoa wa Ruvuma amesema ana taarifa ya madakitar baadhi kuhusika na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s640/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kaasim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) wakati alipokagua hospitali ya wilaya ya kibaha iliyopo eneo la Lulanzi ambayo imetengwa kwa ajili ya kuwahuduma kwa wagonjwa wa Coroma, Machi 28, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo na wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Bakari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7625AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7628AAAA-1024x697.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200307-WA0179.jpg)
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-_s4TArpTUWA/XmOGabG3pDI/AAAAAAALht8/16AgrD-Qn6wVkZ7lcUlG8nda21H1oRwtwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200307-WA0179.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0180.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0178.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0191.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200307-WA0189.jpg)
10 years ago
MichuziSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI AN HOSPITALI YA MKOA ILALA.
10 years ago
GPLSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI HOSPITALI YA MKOA ILALA