‘Kampuni ya kusafirisha magogo ilidanganya’
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kampuni iliyohusika na usafirishaji wa makontena 31 yaliyokamatwa na magogo ya mninga katika Bandari ya Dar es Salaam, ilidanganya hivyo itawajibika kuthibitisha ilikoyatoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7dUCeFO2kvw/VkDgbeQbXtI/AAAAAAADBHY/5l7goD9Ycdo/s72-c/12219593_1646329432298044_5666436897318437469_n.jpg)
MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7dUCeFO2kvw/VkDgbeQbXtI/AAAAAAADBHY/5l7goD9Ycdo/s640/12219593_1646329432298044_5666436897318437469_n.jpg)
Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa. Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:20' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 40' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,8004X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Shehena ya magogo yanaswa
11 years ago
Habarileo08 Aug
Magogo kuvunwa msitu wa Saohill
WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imetoa vibali vya kuvuna mita za ujazo 488,100 za magogo ya miti katika msitu wake wa Taifa wa Saohill, uliopo wilayani Mufindi mkoani Iringa katika kipindi cha mwaka 2014/2015.
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Magogo ya magendo sasa kurudishwa
11 years ago
Habarileo29 Jun
Magogo kwa nishati yaudhi wadau
WAKATI Serikali ya Tanzania ikiungana na nchi za Kenya na Uganda na Umoja wa Mataifa kupiga vita biashara ya magogo katika nchi za ukanda wa maziwa makuu, uongozi wa kiwanda cha kutengeneza nguo cha Sunflag cha jijini hapa umeendelea kutumia magogo kuendeshea mitambo ya kiwanda hicho kikongwe nchini.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar
5 years ago
Goal.Com30 Mar
Coronavirus: Fufa has not discussed impact – Magogo
11 years ago
Mwananchi15 Feb
TRA mbioni kupiga mnada magogo
11 years ago
Habarileo02 May
Vijiji vyauza magogo ya Sh mil 203
VIJIJI vitano wilayani Kilwa katika Mkoa wa Lindi vilivyo kwenye mpango maalumu wa kusafirisha na kuuza magogo nje ya nchi, vimejipatia zaidi ya Sh milioni 203 kati ya mwaka jana na mwaka huu kutokana na mauzo hayo.