Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar
Wizara ya Maliasili na Utalii imekamata makontena 31 yaliyokuwa na magogo ya mninga katika Bandari ya Dar es Salaam yenye thamani ya zaidi ya Sh300 milioni ambayo yalikuwa yanasafirishwa kwenda China.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Makontena tisa yakamatwa Dar
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Waziri wa Magufuli kaapishwa jana, leo kaibuka na ‘jipu’ jingine la makontena bandarini Dar
Headlines kwenye vyombo vya habari zinabebwa na neno ‘jipu’ au ‘majipu’ kutokana na kauli na ahadi ya Rais Magufuli kwamba lazima atumbue majipu ya ufisadi na ubadhirifu Serikalini. Tuliyapata ya upotevu wa makontena zaidi ya 2,000 bandarini ambayo yalitoroshwa bila kulipia ushuru, Serikali ikaamua baadhi ya watumishi wakamatwe na kesi zao zinaendelea Mahakamani… kingine kilichoripotiwa […]
The post Waziri wa Magufuli kaapishwa jana, leo kaibuka na ‘jipu’ jingine la makontena bandarini Dar...
9 years ago
Habarileo23 Dec
Magogo 5,876 ya mninga maji yakamatwa Mbeya
MAGOGO 5,876 ya mti aina ya mninga maji yamekamatwa katika mikoa ya Mbeya, Njombe na Rukwa kutokana na operesheni maalumu inayofanywa na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) tangu Desemba 5, mwaka huu. Mkurugenzi wa TFS, Mohamed Kilongo alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari wakati akiwaonesha magogo yaliyokamatwa na kuhifadhiwa katika Kituo cha Polisi cha Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Sk2hsjDe2jQ/Vm7cKlvUHUI/AAAAAAAIMWY/tLrx9LSPt64/s72-c/20151214070241.jpg)
Magogo ya mitiki 1418 yakamatwa jijii Mbeya leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sk2hsjDe2jQ/Vm7cKlvUHUI/AAAAAAAIMWY/tLrx9LSPt64/s640/20151214070241.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--6pURmpgpAU/Vm7cKm9-2gI/AAAAAAAIMWQ/6PikRPq9V6I/s640/20151214070239.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LkZY3-TCAkc/Vm7cKq_bo9I/AAAAAAAIMWU/XNgQx2Tro3U/s640/2015121407024%252C1.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Mar
TRA: Hatuna taarifa za makontena ya magogo ya magendo
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/M_g4z6mj1q4/default.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Hawajakoma bado: Makontena mengine 2431 yapita bandarini bila kulipiwa kodi
![4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/4-300x194.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea bandarini na shirika la reli Tanzania(TRL).
Akiwa bandarini amekagua mfumo wa utoaji na uingizaji mizigo bandarini. Katika maongezi ya awali meneja wa bandari alimuhakikishia kuwa mfumo hauruhusu kontena kuibiwa lakini waziri mkuu alienda na ripoti ya ukaguzi na kumuonyesha majina ya waliopitisha makontena zaidi 2431 bila kulipiwa kodi.
Amempa muda wa masaa matatu hadi saa kumi na mbili jioni aambiwe hatua zilizochukuliwa kwa wahusika kwa sababu...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AVAMIA TENA BANDARINI NA TRL,AKUTA MAKONTENA 2431 YEMETOKA BILA KULIPIWA KODI.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Waziri Mkuu atinga tena bandarini na TRL, akuta makontena 2431 yametoka bila kulipiwa kodi!!
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua bandari ya Dar s salaam Desemba 3, 2015 ambako alikwenda kupata ukweli kuhusu makontena 2,431 yaliyopitia kwenye bandari hiyo bila kulipiwa kodi ya serikali. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa malipo baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.
Waziri Mkuu alisema kwa mujibu wa...