Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA mbioni kupiga mnada magogo

Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania(TRA)Kanda ya Zanzibar, imesema shehena ya magendo ya magogo yaliyoingizwa Zanzibar kutokea Madagascar yatapigwa mnada au kuharibiwa baada ya Madagascar kutoa ruhusa maalum imeeelezwa jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

TRA: Hatuna taarifa za makontena ya magogo ya magendo

Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania Kanda ya Zanzibar (TRA), imesema haina taarifa kuhusu makontena 95 yenye mzigo wa magendo ya magogo yaliosafirishwa kupitia bandari ya Zanzibar yakielekea mataifa ya Mashariki ya Mbali, gazeti hili limebaini hilo jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Shehena ya magogo yanaswa

Makontena sita yaliyobeba magogo yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda nje kwa njia za magendo yamekamatwa katika Bandari ya Malindi, Kisiwani Unguja kabla ya kusafirishwa kuelekea nchini China, imefahamika visiwani humu.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Kampuni ya kusafirisha magogo ilidanganya’

Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kampuni iliyohusika na usafirishaji wa makontena 31 yaliyokamatwa na magogo ya mninga katika Bandari ya Dar es Salaam, ilidanganya hivyo itawajibika kuthibitisha ilikoyatoa.

 

11 years ago

Mwananchi

Magogo ya magendo sasa kurudishwa

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, imesema shehena ya magogo yaliyokamatwa yakiingizwa nchini kwa njia ya magendo yakitokea Madagascar yatarejeshwa nchini humo, kwa sababu Zanzibar haina sheria ya misitu ya kuwashtaki au kutaifisha shehena aina hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Magogo kuvunwa msitu wa Saohill

WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imetoa vibali vya kuvuna mita za ujazo 488,100 za magogo ya miti katika msitu wake wa Taifa wa Saohill, uliopo wilayani Mufindi mkoani Iringa katika kipindi cha mwaka 2014/2015.

 

11 years ago

Habarileo

Vijiji vyauza magogo ya Sh mil 203

VIJIJI vitano wilayani Kilwa katika Mkoa wa Lindi vilivyo kwenye mpango maalumu wa kusafirisha na kuuza magogo nje ya nchi, vimejipatia zaidi ya Sh milioni 203 kati ya mwaka jana na mwaka huu kutokana na mauzo hayo.

 

11 years ago

Habarileo

Magogo kwa nishati yaudhi wadau

WAKATI Serikali ya Tanzania ikiungana na nchi za Kenya na Uganda na Umoja wa Mataifa kupiga vita biashara ya magogo katika nchi za ukanda wa maziwa makuu, uongozi wa kiwanda cha kutengeneza nguo cha Sunflag cha jijini hapa umeendelea kutumia magogo kuendeshea mitambo ya kiwanda hicho kikongwe nchini.

 

5 years ago

Goal.Com

Coronavirus: Fufa has not discussed impact – Magogo

Coronavirus: Fufa has not discussed impact – Magogo  Goal.comFUFA proposes the start of Reserve League (U20 catergory)  Kawowo SportsCoronavirus: Fufa confident UPL season will be completed - Magogo  Goal.comView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo

Watanzania 13 wametiwa mbaroni nchini Madagascar wakituhumiwa kukutwa na meli iliyosheheni magogo ya miti adimu na ghali ambayo yamepigwa marufuku kuvunwa humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani