MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA

Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa. Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:20' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 40' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,8004X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
TUNASHINDWA KUSAFIRISHA MAZAO YETU KWA SABABU MIUNDOMBINU SI YA UHAKIKA-MKAZI WA MAGUBIKE.

10 years ago
Mtanzania11 Dec
Kaymu yazindua kampeni ya kusafirisha mizigo bure
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Kaymu Tanzania, imezindua kampeni ya msimu wa likizo kuwapatia wateja ofa maalumu ya bure ya kusafirishaji mizigo ndani ya Jiji la Dar es Salaam, ikiambatana na bidhaa mpya zenye ubora.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Kaymu Tanzania, Erfaan Mojgani, alisema lengo la kampeni hiyo ni kusaidia katika ununuzi wa msimu wa likizo na kuwahamasisha watu kutumia fursa ya biashara kwa njia ya mtandao inayokua kwa...
11 years ago
Michuzi01 Nov
TANZANIA NA BURUNDI ZA SAINI MKATABA WA MIAKA 50 KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA MRADI WA RUSUMO
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
11 years ago
VijimamboTANZANIA NA BURUNDI ZATILIANA SAINI MKATABA WA MIAKA 50 KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA MRADI WA RUSUMO
10 years ago
Vijimambo
TAAARIFA KWA UMMA KUTOKA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA KUHUSU MOTO UNAOUNGUZA SEHEMU YA MLIMA MERU


Wananchi wapatao 200 kutoka vijiji jirani vya Olosinoni na Kisimiri Juu wakishirikiana na TANAPA wamefanikiwa kuudhibiti moto huo ili usiweze kuleta madhara makubwa kwa binadamu hususan wageni wanaotembelea hifadhi kwa lengo la kupanda...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
‘Kampuni ya kusafirisha magogo ilidanganya’
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Madereva 21 wa Kampuni ya Majinjah Logistics Ltd wapatiwa mafunzo na NIT, wahitimu wapewa vyeti
Wafanyakazi wa Kampuni ya Majinjah Logistics Ltd wakiwa katika picha ya pamoja na kutoka kushoto mstari wa mbele (wa pili) Mkuu wa Kampuni ya Majinjah,Geoffrey Mwambona, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Majinjah Logistics,Benjamin Mwandete, Mkuu wa Idara ya Tafiti, Machapisho na Masomo ya Elimu ya Juu (NIT), Dk,Ethel Kasembe, Mhandisi, Charles Kisunga na Dereva wa kike wa Majinjah, Grace Andrew.
Wahitimu wa mafunzo ya Udereva wa Kampuni ya Majinjah Logistics wakiwa katika picha...
10 years ago
Michuzi
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI

Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...