TANZANIA NA BURUNDI ZA SAINI MKATABA WA MIAKA 50 KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA MRADI WA RUSUMO
Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania , Profesa, Sospeter Muhongo (kushoto) na Waziri wa Nishati na Madini wa nchi ya Burundi, Mhe. Come Manirakiza wakitia saini mkataba wa miaka 50 wa usafirishaji wa umeme kutoka Mradi wa Rusumo kwenda nchini humo katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. Mradi huo unazihusisha nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa, Sospeter Muhongo (kushoto), akibadilishana hati na Waziri wa Nishati na Madini wa nchi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTANZANIA NA BURUNDI ZATILIANA SAINI MKATABA WA MIAKA 50 KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA MRADI WA RUSUMO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Profesa Sospeter Muhongo asaini mkataba wa mradi wa kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya
Mawaziri wanaoshughulikia Nishati kutoka nchi za Zambia, Tanzania na Kenya wakisaini Mkataba wa Makubaliano kuonesha dhamira ya Serikali ya nchi hizo kujenga miundombinu ya pamoja ya kusafirisha umeme na kufanya biashara ya kuuziana umeme wa ziada baina ya nchi hizo.
Na Anitha Jonas, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo jana ametia saini Mkataba wa Mradi kujenga Miundombinu ya kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya (ZTK) katika Mkutano wa Kumi...
10 years ago
MichuziMHE. BALOZI PHILIP MARMO AWEKA SAINI MKATABA WA MKOPO KUTOKA MFUKO WA MAENDELEO YA KIMATAIFA
10 years ago
Habarileo16 Jul
UN Tanzania, Norway watia saini mkataba wa bil 6.9/-
UMOJA wa Mataifa nchini Tanzania umetia saini mkataba na ubalozi wa Norway wa Sh bilioni 6. 9 (dola za Marekani milioni 3.1) kusaidia masuala mbalimbali nchini Tanzania. Masuala hayo ni ya wakimbizi, utawala bora, haki za binadamu na ushirikiano na watu wa Zanzibar.
10 years ago
GPLVODACOM NA TFF ZATILIANA SAINI MKATABA WA KUIDHAMINI LIGI KUU TANZANIA BARA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7dUCeFO2kvw/VkDgbeQbXtI/AAAAAAADBHY/5l7goD9Ycdo/s72-c/12219593_1646329432298044_5666436897318437469_n.jpg)
MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7dUCeFO2kvw/VkDgbeQbXtI/AAAAAAADBHY/5l7goD9Ycdo/s640/12219593_1646329432298044_5666436897318437469_n.jpg)
Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa. Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:20' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 40' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,8004X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ykRRpFWva6I/VCtS92V2dXI/AAAAAAAGm2g/hQC35PpiF84/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
ZAMBIA, TANZANIA, KENYA ZASAINI MKATABA KUONESHA DHAMIRA YA KUJENGA MIUNDOMBINU YA UMEME