Sikika: Wanavijiji wanakosa huduma bora za afya
UKOSEFU wa mara kwa mara wa dawa muhimu na vifaatiba katika vituo vya huduma za afya vya umma, ni tatizo linalowaathiri zaidi wananchi wa vijijini. Hayo yalisemwa Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Samia: Nitapigania huduma bora za afya
WIKI moja iliyopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za Uchaguzi Mkuu, katika viwanja vya jangwani jijini Dar es Salaam uzinduzi ambao ulifana kwa kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Uzinduzi huo ulifungua pazia kwa chama hicho kuanza kufanya kampeni ya kuomba ridhaa ya wananchi kukirejesha madarakani ili kiendelee kutawala kwa miaka mitano ijayo.
Ni kupitia uzinduzi huo , CCM iliweka hadharani ilani yake ya Uchaguzi na mgombea wake Dk. John Magufuli na...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Babu wa Samunge:JPM awahakikishie wananchi huduma bora za afya
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sikika yaichambua Bajeti ya Afya
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Sikika yataka bajeti ya afya iongezwe
ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya Sikika imewataka wabunge kujitahidi kuishawishi serikali kuongeza fedha kwenye Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka 2014/15. Mkurugenzi wa Sikika, Irenei Kiria, alitoa...
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA KWA KUSHIRIKIIANA NA SHIRIKA LA HELPAGE INTERNATIONAL WAMEANDAA MKUTANO WA SIKU MBILI WA KUTATHMINI HUDUMA BORA ZA WAZEE ZANZIBAR KATIKA HOTELI YA OCEAN VIEW.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...