Sikika yataka bajeti ya afya iongezwe
ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya Sikika imewataka wabunge kujitahidi kuishawishi serikali kuongeza fedha kwenye Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka 2014/15. Mkurugenzi wa Sikika, Irenei Kiria, alitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sikika yaichambua Bajeti ya Afya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s72-c/1.jpg)
BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuHYtUPVU4U/VWM7pm1YVMI/AAAAAAAC5CY/FbrbyyAvC40/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Sikika: Wanavijiji wanakosa huduma bora za afya
UKOSEFU wa mara kwa mara wa dawa muhimu na vifaatiba katika vituo vya huduma za afya vya umma, ni tatizo linalowaathiri zaidi wananchi wa vijijini. Hayo yalisemwa Dar es Salaam...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Wizara ya Afya yataka nyaraka za watoa tiba asili
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Waiponda Bajeti Wizara ya Afya
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wawakilishi waikataa Bajeti ya Wizara ya Afya
9 years ago
Michuzi05 Jan
Serikali yataka hospitali binafsi kuacha kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima za Afya.
Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya hospitali au taasisi binafsi za afya kuwapima wagonjwa wanaotoka hospitali za Serikali vipimo ambavyo hawakuagizwa kuvipima na madaktari kutoka hospitali hizo kwani kufanya hivyo ni kuiongezea Serikali gharama zisizo la lazima.
Tamko hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangala wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean...
11 years ago
Habarileo10 Jun
Bajeti Wizara ya Afya Z'bar kupitiwa tena
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watapitia tena vifungu vya bajeti ya Wizara ya Afya ambayo ilikwama mwishoni mwa wiki, baada ya wajumbe wengi kutoridhishwa na mgawanyo wa fedha katika maeneo muhimu.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
‘Bajeti sekta ya afya, elimu zaongezeka kila mwaka’
SERIKALI imesema bajeti za sekta za afya na elimu zimekuwa zikiongezeka mwaka hadi mwaka sambamba na ukuaji wa uchumi. Naibu wa Fedha, Saada Mkuya Salum, alibainisha hayo bungeni jana alipokuwa...