Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yaiamuru SCBHK, TANESCO kutokuwabugudhi wamiliki wa IPTL

Makandege 2

Katibu na Mwanasheria mkuu wa kampuni ya ufuaji umeme ya IPTL, Bw. Joseph Makandege akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) nakala ya hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya Tanzania ikizuia benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Tanesco kuendelea kuwabugudhi wamiliki wa IPTL na kuingilia uendeshaji wa mitambo yake. Kushoto ni Meneja Rasilimali watu wa IPTL Bw. Aidan Kaude. 

-Yasema Bw. Sethi kuendelea kusimamia mitambo ya ufuaji umeme ya Tegeta

Na Mwandishi Wetu

Mahakama Kuu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru wamiliki IPTL wasibughudhiwe

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong  (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco

Wakati haijafahamika nani aliyelipwa mabilioni ya shilingi yaliyokuwa kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Tanesco na Kampuni ya IPTL, imebainika kuwa Bunge liliwahi kuagiza fedha hizo zisichukuliwe mpaka mitambo ya IPTL itakapokuwa chini ya Tanesco mwakani.

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL,Tanesco sasa wagongana angani

Dar es Salaam. Wakati Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) chini ya uongozi wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Ltd (PAP), ikitangaza kupunguza bei ya umeme kwa asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo wake, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema halina taarifa yoyote.“Tunatarajia hatua za upanuzi kwenda haraka kuhakikisha kuwa IPTL inatoa huduma bora ya uhakika na nafuu kwa Taifa hili. Ningependa kutoa shukrani zangu kwa...

 

11 years ago

TheCitizen

What Washington tribunal verdict means for Tanesco, IPTL billions

An international tribunal has ruled that the private power producer IPTL overbilled Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) in capacity charge roughly estimated to be $3.6 million per a month.

 

11 years ago

Michuzi

Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco

MAKAMPUNI ya Songas Tanzania na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni makampuni pekee ya binafsi yazalishayo umeme ambayo kwa sasa uzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya Taifa wakati mengine yaliyobaki Aggreko na Symbion Power Tanzania yakiwa yanatumika tu wakati wa dharura. 
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

10 years ago

IPPmedia

Govt denies Tanesco board fired legal officer after due diligence in IPTL saga


IPPmedia
Govt denies Tanesco board fired legal officer after due diligence in IPTL saga
IPPmedia
The government has refuted claims that legal officer of Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) Godwin Ngwilimi was not fired but rather, he resigned voluntarily. The claimed government clarification was prompted by the Wednesday tabling of the ...
Tanzania PM sidesteps calls to quit over graft claimsReuters Canada
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption rowCitifmonline

all 23

 

11 years ago

Mwananchi

Msajili Mahakama Kuu ashtushwa na kesi IPTL

>Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Amiri Musumi ameshtushwa na taarifa kuwa hukumu ya kesi ya Tanesco dhidi ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ilimalizika saa 8:30 usiku.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imezuia malipo ya Dola za Marekani 75 milioni (Sh.121 bilioni) kutoka katika akaunti ya Escrow kwa ajili ya kununua asilimia 30 ya hisa za VIP Engineering and Marketing katika Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani