Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL,Tanesco sasa wagongana angani

Dar es Salaam. Wakati Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) chini ya uongozi wa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Ltd (PAP), ikitangaza kupunguza bei ya umeme kwa asilimia 20 baada ya kufanya marekebisho makubwa ya injini za mtambo wake, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema halina taarifa yoyote.“Tunatarajia hatua za upanuzi kwenda haraka kuhakikisha kuwa IPTL inatoa huduma bora ya uhakika na nafuu kwa Taifa hili. Ningependa kutoa shukrani zangu kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco

Wakati haijafahamika nani aliyelipwa mabilioni ya shilingi yaliyokuwa kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Tanesco na Kampuni ya IPTL, imebainika kuwa Bunge liliwahi kuagiza fedha hizo zisichukuliwe mpaka mitambo ya IPTL itakapokuwa chini ya Tanesco mwakani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani

 

This Luxury Boeing 747-8 for the Super-Rich is a Palace in the SkyMost of us can’t afford to fly first-class, let alone buy our own jet. And even within that exclusive world, it’s a big step up from your standard private jet to a personalized Boeing 747-8. Greenpoint Technologies, of Kirkland, recently fitted out the industry’s first VIP 747-8 for a private, undisclosed client.Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.

Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.

Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.

rawimage-11

Ndege ya Gulfstream G650,  miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama yaiamuru SCBHK, TANESCO kutokuwabugudhi wamiliki wa IPTL

Makandege 2

Katibu na Mwanasheria mkuu wa kampuni ya ufuaji umeme ya IPTL, Bw. Joseph Makandege akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) nakala ya hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya Tanzania ikizuia benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Tanesco kuendelea kuwabugudhi wamiliki wa IPTL na kuingilia uendeshaji wa mitambo yake. Kushoto ni Meneja Rasilimali watu wa IPTL Bw. Aidan Kaude. 

-Yasema Bw. Sethi kuendelea kusimamia mitambo ya ufuaji umeme ya Tegeta

Na Mwandishi Wetu

Mahakama Kuu...

 

11 years ago

TheCitizen

What Washington tribunal verdict means for Tanesco, IPTL billions

An international tribunal has ruled that the private power producer IPTL overbilled Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) in capacity charge roughly estimated to be $3.6 million per a month.

 

11 years ago

Michuzi

Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco

MAKAMPUNI ya Songas Tanzania na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni makampuni pekee ya binafsi yazalishayo umeme ambayo kwa sasa uzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya Taifa wakati mengine yaliyobaki Aggreko na Symbion Power Tanzania yakiwa yanatumika tu wakati wa dharura. 
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...

 

10 years ago

IPPmedia

Govt denies Tanesco board fired legal officer after due diligence in IPTL saga


IPPmedia
Govt denies Tanesco board fired legal officer after due diligence in IPTL saga
IPPmedia
The government has refuted claims that legal officer of Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) Godwin Ngwilimi was not fired but rather, he resigned voluntarily. The claimed government clarification was prompted by the Wednesday tabling of the ...
Tanzania PM sidesteps calls to quit over graft claimsReuters Canada
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption rowCitifmonline

all 23

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa

Wanasiasa wametakiwa kukaa kimya na kusubiri matokeo ya ripoti ya IPTL itakayotolewa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) watakapoendelea kuongea watasababisha kuchakachuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James Rugemalira.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TANESCO sasa mambo shwari Luku




NA EMMANUEL MOHAMEDSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limesema tatizo la mfumo wa kununua umeme kwa njia ya mtandao limeshatafutiwa ufumbuzi na kwamba wateja wataendelea kupata huduma hiyo. Imeelezwa kuwa  licha ya kupatikana kwa ufumbuzi huo, bado mfumo huo utakuwa na kasi ndogo ya kuwahudumia wateja, ukilinganisha  na awali. Ofisa Uhusiano wa TANESCO, Adrian Mvungi, alisema tatizo hilo linatokana na kutokea kwa hitilafu ya mfumo huo na kusababisha  usumbufu mkubwa kwa wateja o...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani