Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama asoma na wanawe

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mama asoma Shule ya Msingi na wanawe watatu

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”

 

10 years ago

Mwananchi

Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

Kipindi cha nyuma hapakuweko na utaratibu wa kuandikisha wananfunzi wenye umri mkubwa darasa la kwanza, kutokana na hali hiyo wanafunzi wengi walijikuta wanaishia kukaa nyumbani ama kurudishwa nyumbani kutokana na umri wao kuwa mkubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama awaua wanawe 3 walemavu

Mama anayetuhumiwa kuwaua watoto wake 3 nchini Uingereza amewekwa rumande kwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kesi kuanza dhidi yake

 

10 years ago

Habarileo

Ajinyonga kupinga dhuluma, mama wanawe wauawa

MKAZI wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amekufa baada ya kujinyonga kwa kanga, pembeni ya mlango wa chumba chake, nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kaimu Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mussa Marambo alimtaja marehemu huyo kuwa ni Patrice Shirima (52) maarufu kwa jina la Manywele.

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: YAMOTO BAND "MKUBWA NA WANAWE" ft. ZENA - MAMA (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Buhari asoma makadirio ya bajeti

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amewasilisha makadirio ya bajeti ya kwanza tangu kuchaguliwa kwake, katika wakati ambapo bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiwango kikubwa.

 

10 years ago

GPL

WASTARA ASOMA DUA KUMUENZI SAJUKI

Msanii Wastara akiwa kainama kwenye kaburi la marehemu mumewe sajuki…

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA HUTUBA YA BAJETI YA SERIKALI LEO

 Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee akionyesha begi lenye Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Zanzibar ya mwaka 2014-15.   Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifutilia Hutuba yamapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15. Baadhi ya wakuu wa sekta mbali mbali pamoja na wananchi wakisikiliza Hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee (hayupo pichani) kuhusu mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani