Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria: Buhari asoma makadirio ya bajeti

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amewasilisha makadirio ya bajeti ya kwanza tangu kuchaguliwa kwake, katika wakati ambapo bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiwango kikubwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA HUTUBA YA BAJETI YA SERIKALI LEO

 Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee akionyesha begi lenye Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Zanzibar ya mwaka 2014-15.   Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifutilia Hutuba yamapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15. Baadhi ya wakuu wa sekta mbali mbali pamoja na wananchi wakisikiliza Hotuba ya Waziri wa Fedha Mhe. Omar Yussuf Mzee (hayupo pichani) kuhusu mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2014-15...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAJETI YA FEDHA TASLIMU: Makadirio yenye nakisi

BAJETI ya Tanzania imesomwa rasmi kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Kusomwa kwake ni ishara kwamba mwaka wa fedha wa bajeti 2014/2015 utaanza rasmi tarehe mosi Julai, 2014. Suala la muhimu...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI

Kamati ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mapema wiki hii ilikutana na Watendaji wa Wizara ya Ujenzi kwa ajili ya kupitia maepndekezo ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2014/15.   Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli awali kabla ya kuwasilisha mapendekezo hayo kwanza alianza kwa kutoa tarifa ya utekelezaji kwa mwaka wa fedha wa 2013/14 ambapo Wizara ya Ujenzi ilitengewa Shilingi 381,205,760,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA BAJETI YA FEDHA YA MWAKA KWA MWAKA 2015/16 LEO

Waziri wa Fedha wa Zanzibar Omar Yussuf Mzee akionesha Mkoba wa Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 leo katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Waziri wa Fedha wa Zanzibar Omar Yussuf Mzee akisoma Hutuba ya Mapato na Matumizi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016 leo katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Toeni kwa wakati vitabu vya makadirio ya bajeti kwa wabunge

Picha-no-2

Toeni Kwa Wakati Vitabu Vya Makadirio… by moblog

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari:Ni ushindi wa kidemokrasi Nigeria

Muhammadu Buhari anasema kuwa ushindi wake unamaanisha kuwa taifa hilo linafuata mfumo wa kidemokrasi.

 

10 years ago

BBC

Muhammadu Buhari's Nigeria to-do list

Can Nigeria's new leader end corruption without a horse whip?

 

10 years ago

BBC

VIDEO: What is priority for Nigeria's Buhari?

Muhammadu Buhari is being sworn in as Nigeria's 15th head of state on Friday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushindi wa Buhari ni wa kihistoria Nigeria

Ushindi wa Buhari unaadhimisha wakati muhimu katika historia ya Nigeria iliojawa na misukosuko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani