Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAMBULIZI LAUA 15 MJINI MOGADISHU

Gari likiwaka moto baada ya utekelezwaji wa shambulio hilo. Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15wameuawa wakati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu. Muonekano wa Hoteli hiyo baada ya shambulizi. Hoteli hiyo ambayo iko kwenye moja ya mitaa yenye shughuli nyingi mjini humo mara nyingi hutumiwa na wabunge na maafisa wa serikali, Kundi la kiislamu la al Shabaab limekili kutekeleza… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Shambulizi laua 8 mjini Mogadishu

Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 8 wameuwa walati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi laua 45 Nigeria

Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15

Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi sokoni Gaza laua watu 15

Shambulizi la majeshi ya Israeli kwenye soko moja huko Gaza limewaua watu 15.

 

11 years ago

Habarileo

Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya

WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali mjini Mandera baada ya shambulizi

Wachimba mawe 20 wametozwa faini ya shilingi elfu 60,000 na mahakama moja ya Mandera kenya kwa kukaidi amri ya serikali

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia Mogadishu

Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu

Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu

 

10 years ago

BBCSwahili

Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu

Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani