Shambulizi laua 8 mjini Mogadishu
Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 8 wameuwa walati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LZfMsRt8tpkUXZYH98F0X9teiG4uZlQGJzg6xsquEieJidJhfIXoLSkWJnCrh1XfKiFeQq1K*9Ji6hRc4y3vginCIdiUSnQZ/151101063421_sp_somalia_atack_al_shabab_624x351_epa.jpg?width=650)
SHAMBULIZI LAUA 15 MJINI MOGADISHU
Gari likiwaka moto baada ya utekelezwaji wa shambulio hilo. Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15wameuawa wakati wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu. Muonekano wa Hoteli hiyo baada ya shambulizi. Hoteli hiyo ambayo iko kwenye moja ya mitaa yenye shughuli nyingi mjini humo mara nyingi hutumiwa na wabunge na maafisa wa serikali, Kundi la kiislamu la al Shabaab limekili kutekeleza… ...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Shambulizi laua 45 Nigeria
Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shambulizi la kujitoa mhanga laua 15
Watu 15 wameuawa baada ya mshambulizi wa kujitolea mhanga kulipua bomu Maiduguri
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Shambulizi sokoni Gaza laua watu 15
Shambulizi la majeshi ya Israeli kwenye soko moja huko Gaza limewaua watu 15.
11 years ago
Habarileo02 Apr
Shambulizi la kigaidi laua sita Kenya
WATU sita wameuawa na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California, mtaa wa Eastleigh jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi, Benson Kibue alisema kuwa milipuko miwili ilitokea wakati magaidi waliporusha mabomu katika migahawa miwili midogo.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Hali mjini Mandera baada ya shambulizi
Wachimba mawe 20 wametozwa faini ya shilingi elfu 60,000 na mahakama moja ya Mandera kenya kwa kukaidi amri ya serikali
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Al Shabaab washambulia Mogadishu
Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu
Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu
Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania